Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Ndugu zangu,watz tumekuwa tukifurahia sana mabadiliko ya sayansi na teknolojia ikiwemo mabadiliko ya bidhaa mbalimbali bila kujua athari zake.Nasikia bidhaa nyingi zinazoletwa hapa kwetu hazitumiwi na hawa jamaa wanaotuletea,isipokuwa zinakuwa''Special For Africa---yaani feki
Ukweli uko wapi wandugu?
Ukweli uko wapi wandugu?