Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,563
Speaker amekuwa mstari wa mbele kutaka wabunge wachukuliwe hatua au kuwasalisha ushahidi kwa kile kinachodaiwa kulidanganya Bunge. Ni kwa nini hadi sasa Wabunge hawajatumia dawa hiyo hiyo kuwawajibisha Speaker na Waziri Mkuu? Wanatakiwa wawakilishe ushahidi kwamba Raisi alitia sahihi kukubali nyongeza ya posho za wabunge, na wakishindwa wawajibishwe kwa kulidanganya Bunge! Sheria ni msumeno.