Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Speaker wa bunge la jamhuri ya muungano katika bunge la leo wakati wa matangazo amevikoromea vyombo vya habari vinavyokiuka maadili na kupotosha wananchi at the same time kusababisha chuki kati ya bunge na wananchi, amelitaja gazeti la RAI linalo milikiwa na mbunge wa Igunga Bw Rostam Aziz kuwa ni gazeti lisilofuata maadili ya uandishi wa habari na mara nyingi limekuwa likiandika lugha chafu na kulikashifu bunge, akitoa mfano amesema gazeti hilo toleo la jana limeandika kuwa bunge la Tz ni bunge mfu, amempa jukumu katibu wa bunge kufuatilia jambo hilo na sheria kali kuchukuliwa.
MJ
MJ