Spea za magari haya...

Levels inawezekana kabisa zinatofautiana bongo magumashi ya spea utapata na sasa hivi dubai, china ni kama mbagala watu wanaagiza na kwenda kila siku, wee kama unamichuma njoo nayo spare utapata lakini za kuagiza hata bush inawezekana ukaagiza nje sema kuyauza hiyo mikoko inatakiwa kisu uwe nacho
 
Uncle wangu ana Chrysler la USA mwaka wa tatu sasa, ukimuuliza "anko vipi spare?" anakwambia "wewe uko dunia ya kale".
 
Back
Top Bottom