Leo tukiwa katika mazungumzo ya hapa na pale katika kituo changu cha kazi nimestuka kusikia kuwa lile ganda la Soya linaweza kusababisha kansa! Kwa kweli nimestuka sana manake watoto wangu nimekuwa nikiwatengenezea lishe iliyochanganywa na Soya!
Nilichokuwa nafanya ni kukaanga tu ile soya ili kuua protein inhibitor iliyoko kwenye ganda (kwa mujibu wa kitabu cha turejee edeni/mwandishi nimesahau) ila kina list ya vyakula na jinsi ya kuviandaa na faida zake mwilini!
Je ndugu zangu ni kweli?
Nilichokuwa nafanya ni kukaanga tu ile soya ili kuua protein inhibitor iliyoko kwenye ganda (kwa mujibu wa kitabu cha turejee edeni/mwandishi nimesahau) ila kina list ya vyakula na jinsi ya kuviandaa na faida zake mwilini!
Je ndugu zangu ni kweli?