WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
tanzania is planning to raise a big amount of money thru issuing of sovereign bond to international market according to report made by finance minister but official from WB
warned tanzania not to go ahead with the plan as he claimed it is very costly. hapo mimi ndo nimekwam sijui hilo zoez la ku-issue hizo bond linafanyikaje, faida na hasara yake. kwanini eti hiki kijibenki kinachojiita cha ulimwengu kinaiwekea 'inji' hii kauzibe au ni kusimamia utaratibu wao wa kutukopesha kwa masharti magumu na kutupangia namna ya kutumia mkopo wao? wachumi nisaidieni
warned tanzania not to go ahead with the plan as he claimed it is very costly. hapo mimi ndo nimekwam sijui hilo zoez la ku-issue hizo bond linafanyikaje, faida na hasara yake. kwanini eti hiki kijibenki kinachojiita cha ulimwengu kinaiwekea 'inji' hii kauzibe au ni kusimamia utaratibu wao wa kutukopesha kwa masharti magumu na kutupangia namna ya kutumia mkopo wao? wachumi nisaidieni