haya ni maneno ya balozi wa south korea alipokuwa akibadilishana mawazo na nd. Mengi.
Alikuwa akijibu swali na Mengi aliyetaka kujua ni namna gani nchi hiyo imeweza kufanikisha vita hiyo. Alisema uchunguzi na kuadhibu watuhumiwa ndio dawa ya mafanikio katika vita hiyo na kwamba mbinu hiyo imesaidia Korea Kusini kufanikiwa katika eneo la rushwa.
Marais wetu wawili wastaafu walifunguliwa mashtaka na walifungwa, kisha wakalipa walichokuwa wameiba, nchini mwetu kila mmoja anajua rushwa hairuhusiwi kabisa, alisema.
Alisema watu wenye mamlaka na wenye fedha nyingi nchini humo, wanafuatiliwa kwa karibu na jamii nzima ili kuhakikisha kwamba wanalitumikia taifa na sio vinginevyo.
chanzo. Nipashe.
i hope Bw Hosea anayecheka na wala rushwa kila kukicha atakuwa amejifunz kitu hapa.
Alikuwa akijibu swali na Mengi aliyetaka kujua ni namna gani nchi hiyo imeweza kufanikisha vita hiyo. Alisema uchunguzi na kuadhibu watuhumiwa ndio dawa ya mafanikio katika vita hiyo na kwamba mbinu hiyo imesaidia Korea Kusini kufanikiwa katika eneo la rushwa.
Marais wetu wawili wastaafu walifunguliwa mashtaka na walifungwa, kisha wakalipa walichokuwa wameiba, nchini mwetu kila mmoja anajua rushwa hairuhusiwi kabisa, alisema.
Alisema watu wenye mamlaka na wenye fedha nyingi nchini humo, wanafuatiliwa kwa karibu na jamii nzima ili kuhakikisha kwamba wanalitumikia taifa na sio vinginevyo.
chanzo. Nipashe.
i hope Bw Hosea anayecheka na wala rushwa kila kukicha atakuwa amejifunz kitu hapa.