Yaani jamaa bado anaendelea kusiha mbegu? Hapo ipo kazi!
I applaud ANC's democratic credentials. Vipi, 'sister party' (CCM) hawakuwepo hapo? Nina hakika walialikwa hawa kwenye kikao kizito kama hicho hawakosi.
Picha hii ilipigwa baada ya Zuma kumbwaga Mbeki
Naomba nikusahihishe: Soma hapa chini: By the way aliyeshindwa umakamu wa Raisi wa ANC alikuwa mkewe, kwa sasa wameachana.
"Mr Zuma has recognised at least 18 children from four official wives and several girlfriends. Two children have been born since his acquittal in a notorious rape trial last year".
http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/africa/article3070220.ece
http://www.iol.za.org/index.php?set_id=1&click_id=13&art_id=ct1999070610002266S340917
Mafisadi wa CCM hata kama walikuwepo, hawawezi kuruhusu democracy kiasi hichi watafukuzwa watu uanachama kwa kutaka 'kuharibu hali ya hewa' ili waendeleze ufisadi wao. Unaona jinsi walivyomnyamazisha Butiku kuhusiana na maovu mengi aliyoyasema ndani ya chama. Hakupata support yoyote ndani ya chama. Pamoja na madhambi mengi aliyoyafanya Mkapa, Muungwana alisema 'mwacheni mzee wetu astaafu kwa amani' hakuna aliyetoa sauti ndani ya chama. Hata Mkapa alipotaamka 'niacheni nimeshastaafu' hakuna hata aliyeguna ndni ya chama pamoja na madudu yote aliyoyafanya. Kinachonitia imani ni kwamba Watanzania wameanza kuamka hivyo ufisadi, ula rushwa na uroho wa utajiti wa haraka haraka kupitia nyadhifa zao, dawa yako iko jikoni na si muda mrefu watakiona cha moto. Wengi wao wana wasi wasi wa hali juu.
Hahahaha!Zuma tumwombee asije tu baka mwanamke mwingine- maanake naona huyu jamaa ana mfazaiko- hawezi kujizuia!
The wives, former wives and lovers
1. He is still married to his first wife, Sizakele Khumalo, whom he met in 1959. The painfully shy "MaKhumalo" lives at his homestead in Nklanda, KwaZulu-Natal. He has no children with her, but has publicly praised her and she is favourite to be "first lady"
2. The ex Nkosazana Dlamini-Zuma divorced him in 1998. Now Foreign Minister and an Mbeki ally, she has four daughters with Mr Zuma.
3. The late wife Before committing suicide in 2000, Kate Zuma had five children with Mr Zuma
4. The city wife Mantuli Zuma married Mr Zuma five years ago. She has a daughter, 5, and seven-month-old son with him but prefers to keep out of the spotlight.
5. The latest wife Mr Zuma recently paid lobolo (a dowry) to the clan of Thobeka Stacy Mabhija, 35, with whom he has two children. The second is 3 months old. Ms Mabhija, who works at a mobile phone company, is an elegant woman known for her designer outfits
6. The old flame Minah Shongwe, sister of Judge Jeremiah Shongwe, who asked to be recused from Mr Zuma's rape trial because of the liaison. She has a son, Edward, 30, with Mr Zuma
Naomba nikusahihishe: Soma hapa chini: By the way aliyeshindwa umakamu wa Raisi wa ANC alikuwa mkewe, kwa sasa wameachana.
"Mr Zuma has recognised at least 18 children from four official wives and several girlfriends. Two children have been born since his acquittal in a notorious rape trial last year".
http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/africa/article3070220.ece
http://www.iol.za.org/index.php?set_id=1&click_id=13&art_id=ct1999070610002266S340917
Zuma tumwombee asije tu baka mwanamke mwingine- maanake naona huyu jamaa ana mfazaiko- hawezi kujizuia!