Diehard
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 467
- 347
Rais wa Sudan, Omar Al Bashir amesema nchi yake ilitoa msaada wa wapinzani wa Libya waliomuondoa madarakani Kanali Muammar Gaddafi.
Katika hotuba kupitia televisheni, Bashir alisema hatua hiyo ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa Gaddafi kutokana na yeye kuwaunga mkono waasi wa sudan miaka mitatu iliyopita.
Sudan na Libya hawajawa na uhusiano mzuri kwa miaka mingi. Rais Al Bashir alisema kundi la JUSTICE AND EQUALITY MOVEMENT (JEM) ambalo ni la waasi kutoka Dafur lilivamia Khartoum miaka mitatu iliyopita wakitumia magari ya jeshi la libya, vifaa, silaha, na pesa kutoka serikali ya Muammar Gaddafi. Alisema Mungu amewapa Sudan fursa ya kulipiza mashambul;io kwa kutuma silaha na msaada kwa raia kwa utawala uliofanya mapinduzi.
Tafsiri yangu:
Kumekuwa na takwimu nyingi zisemazo Gaddafi alikuwa mtu mwema na kutolewa mtiririko wa mengi aliyowafanyia raia wake na wengine kujaribu kukataa maovu yake wakisema kuwa ni propaganda za kimagharibi lakini wanasahau kuwa Gaddafi alileta jeshi lake kupigana na Tanzania katika vita isiyomuhusu ambayo inasemekana wanajeshi wake wapatao 600 walikufa leo unasema alipenda raia wake.
Ikumbukwe Gaddafi amewahi kuwasaidia waasi Chad na Sudan miaka ya nyuma, alihusika na kupotea kwa mwandishi wa habari wa Lebanon Shia imam Musa al-Sadr , ni huyu huyu Gaddafi aliyekuwa na shule ya kijeshi na moja ya graduates wake na ambao waliokuwa wanasapotiwa na Gaddafi ni hawa hapa Charles Taylor - Liberia, Foday Sankoh - mwanzilishi wa Revolutioneray United Front, Jean Bedel Bokassa dictactor wa Afrika ya kati, Blaise Compaore wa Burkina Faso aliyechukua nchi kwa kumuua Rais Thomas Sankara, Ni Gaddafi huyuhuyu aliye kuwa akilifinance kikundi cha waasi wa Ethiopia cha Mengistu Haile Mariam moja ya vikosi vibaya kuwahi kutokea Afrika katika mauaji.
Kifupi Gaddafi aliwafadhiri waasi wa nchi nyingine ili tawala za nchi hizo zianguke alifanikiwa kwa kiwango chake na kwa kuwa aliishi kwa upanga na yeye kaondoka kwa upanga GAME ON NGOMA DRAW, Aliwafadhili waasi na waasi waliomuondoa walifadhiliwa na wengine kumbe mpaka Sudan labda na T+Z maana mauaji ya Gadafi yanapingwa kwa nguvu
Katika hotuba kupitia televisheni, Bashir alisema hatua hiyo ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa Gaddafi kutokana na yeye kuwaunga mkono waasi wa sudan miaka mitatu iliyopita.
Sudan na Libya hawajawa na uhusiano mzuri kwa miaka mingi. Rais Al Bashir alisema kundi la JUSTICE AND EQUALITY MOVEMENT (JEM) ambalo ni la waasi kutoka Dafur lilivamia Khartoum miaka mitatu iliyopita wakitumia magari ya jeshi la libya, vifaa, silaha, na pesa kutoka serikali ya Muammar Gaddafi. Alisema Mungu amewapa Sudan fursa ya kulipiza mashambul;io kwa kutuma silaha na msaada kwa raia kwa utawala uliofanya mapinduzi.
Tafsiri yangu:
Kumekuwa na takwimu nyingi zisemazo Gaddafi alikuwa mtu mwema na kutolewa mtiririko wa mengi aliyowafanyia raia wake na wengine kujaribu kukataa maovu yake wakisema kuwa ni propaganda za kimagharibi lakini wanasahau kuwa Gaddafi alileta jeshi lake kupigana na Tanzania katika vita isiyomuhusu ambayo inasemekana wanajeshi wake wapatao 600 walikufa leo unasema alipenda raia wake.
Ikumbukwe Gaddafi amewahi kuwasaidia waasi Chad na Sudan miaka ya nyuma, alihusika na kupotea kwa mwandishi wa habari wa Lebanon Shia imam Musa al-Sadr , ni huyu huyu Gaddafi aliyekuwa na shule ya kijeshi na moja ya graduates wake na ambao waliokuwa wanasapotiwa na Gaddafi ni hawa hapa Charles Taylor - Liberia, Foday Sankoh - mwanzilishi wa Revolutioneray United Front, Jean Bedel Bokassa dictactor wa Afrika ya kati, Blaise Compaore wa Burkina Faso aliyechukua nchi kwa kumuua Rais Thomas Sankara, Ni Gaddafi huyuhuyu aliye kuwa akilifinance kikundi cha waasi wa Ethiopia cha Mengistu Haile Mariam moja ya vikosi vibaya kuwahi kutokea Afrika katika mauaji.
Kifupi Gaddafi aliwafadhiri waasi wa nchi nyingine ili tawala za nchi hizo zianguke alifanikiwa kwa kiwango chake na kwa kuwa aliishi kwa upanga na yeye kaondoka kwa upanga GAME ON NGOMA DRAW, Aliwafadhili waasi na waasi waliomuondoa walifadhiliwa na wengine kumbe mpaka Sudan labda na T+Z maana mauaji ya Gadafi yanapingwa kwa nguvu