the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
kwa miaka ya sasa sioni kama kuna haja ya kumbembeleza mwanamke kwa ajili ya mapenzi ili ama awe mkeo/mchuma au gf
Kuna wanawake wengiii mno and fresh love is always tamu sana.Mwanamke ukimsihi mara mbili achana nae zuga siku mbili atarudisha mwenyewe mawasiliano.
usimpige mwanamke dawa yake akijifanya anajua wewe poa alafu mwache aende hukoooo atakako.
Ni aibu kwa leo ukute mwanaume analia kisa mwanamkee kamzingua.
Kuna wanawake wengiii mno and fresh love is always tamu sana.Mwanamke ukimsihi mara mbili achana nae zuga siku mbili atarudisha mwenyewe mawasiliano.
usimpige mwanamke dawa yake akijifanya anajua wewe poa alafu mwache aende hukoooo atakako.
Ni aibu kwa leo ukute mwanaume analia kisa mwanamkee kamzingua.