Hapa Rais kachapia Kiswahili na ndio confusion yenyewe........nadhani hakufikiria vizuri nini cha kuseam au gazeti lime misquote kauli yake:
Tuko katika hali ya dharura. Sioni hisia za haraka za kuchukua uamuzi na hatua nyingine muhimu za kukabiliana na dharura ya upatikanaji wa umeme. Hatuwezi kuendeleza kuwa na kigugumizi katika kuchukua uamuzi wa kuitoa nchi katika changamoto kubwa hizi za upatikanaji wa nishati, alisema Rais Kikwete na kuongeza:
Ubwana mkubwa wa kila mmoja wetu utatambuliwa kutokana na mafanikio ambayo kila mmoja wetu ataonyesha katika kukabiliana na hali hii ya upatikanaji wa nishati.
JK siku zote anaongeaga kauli ambazo hata yeye mwenyewe hajui maana yake.
Kama hujui Rais alitumia maneno gani kwa nini post ya kwanza ya thread umenukuu? Umemnukuu nani? Umetoa wapi hiyo quote, umeitunga? Halafu unasingizia magazeti.Binafsi ningependa kujua kama Rais alitumia neno "hali ya dharura" which still falls under "state of emergency"...
A state of emergency is a governmental declaration that may suspend some normal functions of the executive, legislative and judicial powers, alert citizens to change their normal behaviours, or order government agencies to implement emergency preparedness plans. It can also be used as a rationale for suspending rights and freedoms, even if guaranteed under the constitution. Such declarations usually come during a time of natural or man made disaster, during periods of civil unrest, or following a declaration of war or situation of international or internal armed conflict. Justitium is its equivalent in Roman law.
In some countries, the state of emergency and its effects on human rights and freedoms and governmental procedure are regulated by the constitution and/or a law that limits the powers that may be invoked. Rights and freedoms may be suspended during an emergency, for instance, freedom of movement, but not non-derogable rights. In many countries it is illegal to modify the emergency law or the constitution during the emergency.
Tuko katika hali ya dharura na mimi sioni hisia za uharaka wa kuchukua uamuzi na hatua nyingine muhimu za kukabiliana na udharura wa upatikanaji wa umeme na nyenzo nyingi za kuzalisha umeme.
Hatuwezi kuendeleza kuwa na kigugumizi katika kuchukua maamuzi ya kuitoa nchi katika changamoto kubwa hizi za upatikanaji wa nishati, Rais Kikwete aliwaambia watendaji hao wa Serikali yake wanaohusiana na sekta ya nishati"
Hayo ndio maneno ya mkuu wa kaya aliyoyatamka ikulu alipokutana na wadau wa umeme, mtu huyu huyu ndiye alimwambia mwandishi wa habari wa BBC huko South Africa baada ya kuulizwa mipango yake ya kumaliza tatizo akajibu kuwa serikali yake haina uwezo wa kutengeneza mvua leo hii ndio anadai haoni hisia za uharaka wa kuchukua uamuzi.
Jinsi ilivyoripotiwa ni kana kwamba alimaanisha anashangazwa kwanini watu hawaonekani kuonesha "a sense of urgency" na wanashindwa kufanya maamuzi magumu. Waandishi wetu wanatumia neno "hali ya dharura" au "state of emergency" kama walivyoripoti Daily News bila kujua kuwa maneno hayo ni maneno ya kisheria na yana maana yake yanapotumiwa na RAis. Binafsi ningependa kujua kama Rais alitumia neno "hali ya dharura" which still falls under "state of emergency"..
Hivi Mzee Mwanakijiji huko Zanzibar kuna hali ya dharura ama ni mpaka itangazwe?
Hakuna kilichotokea ndugu yangu, nimejawa na udadisi tu!!Kwani kimetokea nini hadi uulize hili?