Mkuu mbona ilipoishia ile sehemu ya mwisho na ilipoanzia leo kama hamna uhusiano.ile imehamishiwa jukwaa la wakubwa omba access ya jukwaa hilo kwa invisible
Mkuu mbona ilipoishia ile sehemu ya mwisho na ilipoanzia leo kama hamna uhusiano.ile imehamishiwa jukwaa la wakubwa omba access ya jukwaa hilo kwa invisible
kuna matatizo yametokea kidogo.. sehemu ya 71 mpaka 80.. zimecollapse.. na hiyo sehem ya 71 nimepost kimakosa ni ya part1 ya hadithi hii.. endelea tu kusoma utaelewa.Mkuu mbona ilipoishia ile sehemu ya mwisho na ilipoanzia leo kama hamna uhusiano.
Doh, invisible mwenyewe ha respond, una namba Yake??? Au na Mimi nianzishe topic yangu ya kitandani anihamishie Kule automatic??ile imehamishiwa jukwaa la wakubwa omba access ya jukwaa hilo kwa invisible
Ngoja nimjaribu.fanya kum PM Then atakupa access..
Mkuu tupia mzigo wa Dani basi Kule, kila Saa watu tunaingia kuangalia mambo Kama yameiva!!Hii Part II