Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Kama Kiongozi wa Chadema namsikitikia zaidi kikwete aliyemchagua kuliko Sofia Simba mwenyewe ambaye kwa historia ya uropokaji wake wala simshangai kabisa. Ndiyvo alivyo.
Kama umemsikia wewe ni witness, sio evidence. Tunataka evidence.
Na iwe video clip, maana mmesema kasemea mbele ya camera.
Na mmesema amesema mara tatu, kwa hiyo mtakuwa na video clip tatu, weka evidence ya video clip moja tu!
Kwa hiyo kifupi, evidence hakuna!Wewe komaa na hizo videoclips zako sisi tunaendelea........
Kama umemsikia wewe ni witness, sio evidence. Tunataka evidence.
Na iwe video clip, maana mmesema kasemea mbele ya camera.
Na mmesema amesema mara tatu, kwa hiyo mtakuwa na video clip tatu, weka evidence ya video clip moja tu!
She just used this philosophy wrongly: If you have any news, do not say it. If you have to say it do not say it in public. If you have to say it in public, do not write it. If you have to write it, do not sign it. If you have to sign it, then be ready for the consequences.
U know she said it in public without writing it knowing she can just deny it; but she forgot that electronic media is retrievable.
Kwa nini?Do not post it here!
Mi nshasema watu ni waoga sana, wanaogopa kusema ukweli wakidhani misaada itasimamishwa. Lakini mimi nilishaweka wazi. Baadhi ya watu na vyombo vya habari vinapotosha umma kuhusu hili swala. Swala hapa si nani anamfadhili nani bali ufadhili kwaajili ya kufanya nchi ionekane haitawaliki. Ukweli ni huu Balozi wa Denmark hapa nchini alianza harakati zake kule Zanzibar kupitia CUF akashindwa ingawa alileta chuki na kusababisha maafa makubwa tu sasa anataka kuleta hilo bara kwa kupitia CHADEMA. na hapa wanazunguka kama ilivyo marekani inavyotumia USAIDS kufanya kazi za CIA Denmark wanatumia shirika la actionaid na Global Platform Tanzania. Kuna kipindi nilisema nadhani hata Jamii Forum wanajua, sasa wameandaa makongamano ambayo ni mazuri na ninayakubali kama yalivyo maandamano yanayofanywa na CHADEMA ingawa tu maazimio ndiyo ninamashaka nayo. Tarehe 31/03/2011 kutakua na discussion on social media as a political tool Islam na Maxence wa jamii forum watasilisha mada on two biggest corruption scandals nitahudhuria ili kuona mdenish anatoa mwonngozo gani kupitia mawakala wao.
Kwa hiyo kifupi, evidence hakuna!
Haya tuendelee. Next allegation?
She just used this philosophy wrongly: If you have any news, do not say it. If you have to say it do not say it in public. If you have to say it in public, do not write it. If you have to write it, do not sign it. If you have to sign it, then be ready for the consequences.She just used this philosophy wrongly: If you have any news, do not say it. If you have to say it do not say it in public. If you have to say it in public, do not write it. If you have to write it, do not sign it. If you have to sign it, then be ready for the consequences.
U know she said it in public without writing it knowing she can just deny it; but she forgot that electronic media is retrievable.
"For the very reason you are looking for it for."For the very reason you are looking for
"For the very reason you are looking for it for."
Kifupi, evidence kwamba alisema hakuna!
Ndio maana sayansi inafundishwa shule kwa lazima toka darasa la tatu. Kwamba usiamini amini vitu bila ushahidi. Kizazi cha Babu wa Liliondo!
Absolutely, that's how I operate. That's what I benefited from my standard III science teacher, who said not to believe in any allegations without incontrovertible evidence.Is that how you 'operate' huh? evidence kwani tuko mahakamani?
Ulete basi huo mkanda!Anakana nini wakati mkanda upo TBC1?
Ulete basi huo mkanda!
Mkanda si upo wa TBC? Weka tuone!
Absolutely, that's how I operate. That's what I benefited from my standard III science teacher, who said not to believe in any allegations without incontrovertible evidence.
National news involving foreign envoys, cabinet minister accuses external enablers for funding the opposition and stoking chaos, CHADEMA alleges, claiming she said it on TV, she denies it, he said, she said. Well, show the damn video! Simple as that.
"Even Makamba taught STD III science."Even Makamba taught science for STD III...
Mimi sikumsikia.Hakn ambae hakmckia Sophia.