Sophia Simba: Sigombei ng'o

"piga ua garagaza" yeye ataendelea kuwa mbunge tu
kwaiyo ni mbunge wa kudumu huyu au ila napenda ule ujike dume wake du

Hahaaha! hapo vipi tena.
Ki masingi, huyu mama ni kinara wa kukurupuka na kusimamia hoja chovu! ni mwanasiasa uchwara kabisa na amabaye anategemea fadhila za mkulu.
 
Ni mama mwenye haiba kubwa ya uongozi na mwenye kusimamia kile anachokiamini.Ukiachilia chuki na majungu huyu mama huwa siyo mnafiki hata kidogo, akikereka tu anayesema aliyo nayo moyoni mwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom