Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
"piga ua garagaza" yeye ataendelea kuwa mbunge tu
kwaiyo ni mbunge wa kudumu huyu au ila napenda ule ujike dume wake du
Hahaaha! hapo vipi tena.
Ki masingi, huyu mama ni kinara wa kukurupuka na kusimamia hoja chovu! ni mwanasiasa uchwara kabisa na amabaye anategemea fadhila za mkulu.