Mama nikumbuke katika ufalme wako: Wildcard tafadhali sana!
-Huyu nae Mropokaji kweli.Hivi nani kamwambia kuwa akijitokeza yeye kuwasapoti basi hao wanawake washashinda ubunge?
-huyu mama kauli zake hazilingani na taaluma yake..unaweza ukafikia hatua hata ya kuwa na wasiwasi na kiwango halali cha elimu yake.Anaongoza chama as if anongoza kikundi cha taarabu?
"Ukiwa Mwenyekiti wa UWT, Makamu, au Katibu automatically ni Mbunge"...!Nimemnukuu!Sijaelewa kabisa, yaani ukiwa na cheo cha CCM unakuwa mbunge automatically kivipi?
Au ni mpaka Raisi ampe kwa "viti maalumu"?
-Huyu nae Mropokaji kweli.Hivi nani kamwambia kuwa akijitokeza yeye kuwasapoti basi hao wanawake washashinda ubunge?
-huyu mama kauli zake hazilingani na taaluma yake..unaweza ukafikia hatua hata ya kuwa na wasiwasi na kiwango halali cha elimu yake.Anaongoza chama as if anongoza kikundi cha taarabu?
Ana elimu gani kubwa mtu wangu? sidhani kama ana Udk wa kusomea I mean PhD...
"piga ua garagaza" yeye ataendelea kuwa mbunge tu
kwaiyo ni mbunge wa kudumu huyu au ila napenda ule ujike dume wake du