mawazotu
Senior Member
- Apr 27, 2010
- 151
- 79
sikuona sababu ya kutumia maneno ya kumvunjia heshima mama sofia simba . Mwandishi angeweza kutumia njia nyingine kufikisha ujumbe kuliko kumzalilisha mama wawatu . sijui kama wenzangu mmefurahishwa na hiyo habari lakini kwangu umeniuzunisha saana kwa sababu naona hatua iliyofikiwa na baadhi ya waandishi ni mbaya yakukosa maadili na kutotumia au kukiuka taaluma. am so disappointed