Dalili si nzuri kwa CCM na jumuiya zake mfano Mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba amekaririwa na vyombo vya habari akiwashangaa wabunge wanawake wa viti maalum toka CCM kutotekeleza maazimio waliojiwekea ya kuchangia sh. 100,000/= kila mwezi kuimarisha uchumi wa UWT. Ama kweli CCM imechokwa na wanachama wao, CDM watu wanachangia kwa hiari, wakati CCM kwa maguvu, Je watafika CCM???