Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
She looks like a bloodsucking vampire, with some of the blood still on her lips.
Kajichubua uso kawa kama back side za wanyama fulani hivi . Du
She looks like a bloodsucking vampire, with some of the blood still on her lips.
Sofia sofia mbona unatuvua nguo wanawake wenzio? Huoni aibu kila siku kuongea pumba hadharani? si ukae kimya tu hakuna atayejua kama wewe mtupu? ona kina migiro na tibaijuka walivyotubeba! NAMKUMBUKA HATA BIBI TITI MOHAMEDI! mmmh lakini wewe ! kweli unaonyesha taswira mpya ya kiongozi mwanamke wa tanzania. Ona umepewa majukumu kubwa kuliko uwezo wako! kwa kweli unatuangusha sana ...nami nahofia madudu unayoyafanya kama hayaathiri taswira ya uongozi ya wanawake nchini ukiwa kama mwenyekiti wa UWT. Yaani wee sofia wee NAJUUUUUUTA KUKUFAHAMU!
NANYI MTAIFAHAMU HIYO KWELI NAYO KWELI ITAWAWEKA HURU
mimi nadhani anajivua mwenyewe
Hiyo picha Mhe, Sophia amependeza, katoka bombaaaaa!!
Mhhh.. Kazi kweli kwei
Mmmh watu kwa uchokonozi.kWELI WEWE KIPOFU. Kamahapo bomba na ukimuona Dr. Kigoda je?
Hiyo picha Mhe, Sophia amependeza, katoka bombaaaaa!!
Mnamatatizo na rangi za ngozi ndugu zetu poleni .
Who Sophia Simba?????????? Alaha mama huyu ana ngoma inamchanganya akili sasa anaropoka ropoka tu ana Jipya kwani hivi VVU vikinasa katika brain mtu anakuwa kama Kichaa ana ongea ongea mwenyewe sasa Mh. Muangalie umtoe haraka atakuja kukusema hata wewe ulivyokuwa ukiongea nae na litakuwa Aibu kwa Taifa. Usipoziba ufa ................................