Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ni kweli kabisa, Mbeya nzima kwa siku kuna magari makubwa zaidi ya kumi na sita (16) yanayotoka hapo kwenda Dar es Salaam (SUMRY Matatu, Mbeya Express Moja, Green Star Moja, Hekima Moja, Lutweledi Moja, Budget Moja, Upendo Moja, Prince Muro Moja, Nganga Moja/Mbili, Al Saed Moja, Abood Moja/Mbili, Hood Moja/Mbili, Jenjela Moja, na mwengine taja mwenyewe).*
Duh uko juu ila na shabiby wameanza safari ya dar mbeya. Hope we ni Mwa-Ozzie*
Duh uko juu ila na shabiby wameanza safari ya dar mbeya. Hope we ni Mwa-Ozzie*