Songwe International Airport

Ngoja next parliament uyu mzee Nundu sijui Nunda atuambie mambo ya kulidanganya bunge tena aliyasema hayo maneno kwa msisitizo two times licha ya Mwambalaswa kuhoji kuna nini apo Songwe.
Malizeni project mlizozianza kabla ya kuanza mpya!
 

Yataje tuendelee na mjadala!



Hivi kuna dili gani jamani huko hadi kujenga airport kubwa kama hiyo?
Huenda siko updated na habari zingine. Naomba mwenye taarifa sahihi anihabarishe.

Kwa ujumla, nyanda za juu kusini zina potentials zifuatazo, ambazo ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.

1) Kilimo (Mazao ya Biashara)
-Chai (Njombe, Mufindi, Rungwe)
-Kahawa (Rungwe, Mbinga, Mbozi
-Pamba (Chunya)
-Kakao (Kyela)
-Tumbaku (Chunya, Kilolo, Sumbawanga)
-Pareto (Mufindi, Mbeya Vijijini)
-Chikichi (Kyela, Ludewa)

2) Madini
-Makaa ya mawe (Ludewa, Rungwe)
-Dhahabu (Chunya)
-Chuma (Ludewa)
-Madini ya vito (Tunduru)

3) Utalii
-Milima mbalimbali
-Mbuga za wanyama (Ruaha, Kipengere, Katavi, Ihefu)
-Maziwa (Nyasa, Ngosi, Tanganyika)
-Barabara Kuu ya TANZAM

4) Mipaka ya Nchi (Inasaidia ongezeko la biashara kati ya nchi hizi)
-Malawi
-Congo
-Zambia


Nitaendelea
[/QUOTE]

Duh! Umetaja wilaya zote za mkoa wa Mbeya kasoro Ileje??? kweli Ileje hamna kitu....
 
Kweli kabisa
Mbeya ndio ina ofisi mbaya ya Mkuu wa MKoa
Mbeya hakuna ikulu ndogo ya Rais, anapofika mkuu wa mkoa anampisha nyumba
Mbeya Mbeya, uwanja wake wa ndege unajengwa kwa zaidi ya miaka kumi ....................
 
Miongoni mwa vitu vinavyodidimiza ukuaji wa Uchumi kanda ya nyanda za juu kusini ni huu uwanja wa ndege usioisha.Yaani watu wange trade na Zambia,Malawi,Msumbiji na South africa vizuri mno.Lakini serikali yetu haiyaoni haya.Inakalia majungu na porojo za fulani atapata umaarufu.
 
uwanja wa Songwe ni kituko cha karne, hadi leo mwezi wa kumi na mbili uwanja hauna dalili za kumalizika ujenzi wake.
Siasa za CCM ndizo zinazoutesa mkoa wa Mbeya
 
Point of correction, runway ndo ndefu kuliko Nyerere airport, lakini ukubwa wa hangar na surrounding buildings haiwezi ikawa kama Nyerere airport.
 
Point of correction, runway ndo ndefu kuliko Nyerere airport, lakini ukubwa wa hangar na surrounding buildings haiwezi ikawa kama Nyerere airport.

,,,,,,,Haijalishi UREFU wala UPANA wa hio Airport UCHWARA,ishu ni uwanja UISHE,watu wa MBEYA wamegeuzwa wajinga kwa AHADI hewa za UWANJA ili kuchagua CCM,watu amkeni haya majitu hayawezi.

 
mi naona wangeweka priority kujenga reli kwasababu ndio usafiri ambao watanzania wengi wanaweza ku afford.sio kujenga mi airport alafu wanatumia wao tu.
 
Hivi lengo kubwa la kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini hasa? na uwanja uko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi, au ni kwa kuwa zimegundulika dhahabu na madini mengine mengi pale mbeya? au kuna biashara gani nyingine inayoifanya mbeya iwe busy na nchi nyingine direct?
 
1. Mbeya ndio hub ya mikoa ya kusin kibiashara ie iringa,ruvuma na RukwaMobile
2. Mbeya ndo inalink na Burundi,DRC,Malawi na Zambia kibiashara so kukiwa na flight itarahishisha hawa watu kuja dsm au kwenda maeneo mengine ya Tz.Ndo maana daily basi si chini ya Nne hutoka Tunduma kwenda dsm same from Kyela kwenda Dsm
3.Northern malawi na northern Zambia mahitaji yao mengi hutegemea mbeya kwa kuwa commercial hub zao ie Lusaka na Blantyre ziko umbali wa zaidi ya 1000km toka miji kama ya kasama,Karonga,Mzuzu,Mpulungu
4.Mbeya as a city deserve to have an international airport
5.Hii itarahisisha export ya bidhaa kama maparachichi na maua to mention but a few
6.Wawekezaji itakuwa raisi kuja kuvinjari na kutafuta vitu vya kuwekeza kuanzia kwenye kilimo mpaka madini
 
Hivi lengo kubwa la kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini hasa? na uwanja uko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi, au ni kwa kuwa zimegundulika dhahabu na madini mengine mengi pale mbeya? au kuna biashara gani nyingine inayoifanya mbeya iwe busy na nchi nyingine direct?

Kwani hawastahili kuwa na uwanja huu? Wapi inatakiwa kuwe na International Airport?
 
1. Mbeya ndio hub ya mikoa ya kusin kibiashara ie iringa,ruvuma na RukwaMobile
2. Mbeya ndo inalink na Burundi,DRC,Malawi na Zambia kibiashara so kukiwa na flight itarahishisha hawa watu kuja dsm au kwenda maeneo mengine ya Tz.Ndo maana daily basi si chini ya Nne hutoka Tunduma kwenda dsm same from Kyela kwenda Dsm
3.Northern malawi na northern Zambia mahitaji yao mengi hutegemea mbeya kwa kuwa commercial hub zao ie Lusaka na Blantyre ziko umbali wa zaidi ya 1000km toka miji kama ya kasama,Karonga,Mzuzu,Mpulungu
4.Mbeya as a city deserve to have an international airport
5.Hii itarahisisha export ya bidhaa kama maparachichi na maua to mention but a few
6.Wawekezaji itakuwa raisi kuja kuvinjari na kutafuta vitu vya kuwekeza kuanzia kwenye kilimo mpaka madini

Kwa hivyo ni sawa ila hata uwepo wa madini pia waweza kuwa umeongeza kasi ya uhitaji wa uwanja huo kurahisisha usafirishaji wa madini coz niliambiwa pale magereza hope ya songwe pamegundulika madini mengi hakuna mfano na km unavyojua ndege maeneo mengine huwa zinatua na kuondoka na shehena za madini direct nje.
 
Kwani hawastahili kuwa na uwanja huu? Wapi inatakiwa kuwe na International Airport?

Wanastahili na walitakiwa wawe nao tangu zamani ila kwanini hata ule mdogo wa kawaida haukuwa na umaarufu????? leo wanaibuka na wa kimataifa....nini kipo nyuma yake? jiulize hapo.*
 
Erick madini pia ni contributing factor but with Songwe International Airport uchumi wa Mbeya utakua haraka pamoja na neighbouring regions
 
Erick madini pia ni contributing factor but with Songwe International Airport uchumi wa Mbeya utakua haraka pamoja na neighbouring regions
Sawa ila inanima sana kuona tunaibiwa mali zetu, kiukweli inauma kuona mapato ya madini ni kidogo sana ukilinganisha na uhalisia, na hawa jamaa huwa wanafanya vitu kwa malengo binafsi,palipo na interest zao ndo wanaweka vitega uchumi ili wajinufaishe, kuwepo uwanja mbeya nafurahi ila uwe na manufaa ya kweli ya jiji la mbeya.
 
Hivi lengo kubwa la kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini hasa? na uwanja uko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi, au ni kwa kuwa zimegundulika dhahabu na madini mengine mengi pale mbeya? au kuna biashara gani nyingine inayoifanya mbeya iwe busy na nchi nyingine direct?

Hizo zote zinaweza kuwa ni sababu, na cha muhimu zaidi ni kuwa mbeya kuna "potential" kubwa ya kuweza kuzalisha mazao mapya yanayoharibika kwa muda mfupi ambayo yanahitaji kusafirishwa haraka yatokapo mashambani kama mauwa, matunda na mboga mboga. Kwa kuwa na uwanja wa ndege na ndege za uhakika za kwenda nje unaongeza uwezo wa kuuza hayo mazao nje kwa unafuu zaidi kwani huhitaji miundombinu ya kuyahifadhi kwa muda mrefu, hiyo inabaki kuwa kazi ya mnunuzi wako wa nje. Uwanja wa ndege wa Kimataifa kwa Mbeya ni muhimu sana na nnashangaa mpaka Kikwete ndiyo amekumbuka hilo na analitimiza, sijui wakuu wa kabla yake walikuwa wamelala?
 
Kuna mzungua alikuwa nakuja Mbeya akaambiwa ni 850km toka dsm akauliza ni nchi ingine au bado ni Tz?Swali la pili akauliza is it necessary twende kwa gari?hamna fast moving trains au ndege maana ni umbali mrefu!
Dreva wake akamjibu this is Africa ivyo unavyovisema uku havipatikani
 
Hizo zote zinaweza kuwa ni sababu, na cha muhimu zaidi ni kuwa mbeya kuna "potential" kubwa ya kuweza kuzalisha mazao mapya yanayoharibika kwa muda mfupi ambayo yanahitaji kusafirishwa haraka yatokapo mashambani kama mauwa, matunda na mboga mboga. Kwa kuwa na uwanja wa ndege na ndege za uhakika za kwenda nje unaongeza uwezo wa kuuza hayo mazao nje kwa unafuu zaidi kwani huhitaji miundombinu ya kuyahifadhi kwa muda mrefu, hiyo inabaki kuwa kazi ya mnunuzi wako wa nje. Uwanja wa ndege wa Kimataifa kwa Mbeya ni muhimu sana na nnashangaa mpaka Kikwete ndiyo amekumbuka hilo na analitimiza, sijui wakuu wa kabla yake walikuwa wamelala?


Faidhafoxy nakukatisha uwanja wa Mbeya alianza kujenga Mkapa tena kwa kasi kubwa. Ila alipoingia Kikwete kasi hiyo imepungua sana. Jaribu kufuatilia sina maana ya kumpinga Kikwete la hasha, ila tu naweka kumbukumbu sawa hapa.

 
Wanastahili na walitakiwa wawe nao tangu zamani ila kwanini hata ule mdogo wa kawaida haukuwa na umaarufu????? leo wanaibuka na wa kimataifa....nini kipo nyuma yake? jiulize hapo.*
Hapo nimekuelewa. Mbeya walistahili kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa kitambo sana. Kukosekana kwa uwanja huu kumeathiri kwa kiasi kikubwa mkoa huu na jiji hili kwa ujumla. Nasikia siasa za chuki na visasi zinazidi kudumaza mkoa na jiji la Mbeya. Watu wanashindwa kwenda kufanya kazi au kufungua biashara kwa kuwa Mbeya iko isolated sana katika suala la usafiri wa anga ila usafiri wa barabara ni wa uhakika.
Fikiria Songwe IA ikifunguliwa pana uwezekano mkubwa wa kupata ndege toka Air Zimbabwe, Air Malawi zikiwa zinaelekea Dar es Salaam lakini pia kuna uwezekano mkubwa wa kupata usafiri wa ndege toka Zambezi Airlines kutoka Zambia na pia Mozambique Airlines zikiwa zinaelekea Nairobi. Mbeya kuna wasafiri wengi mno ambao wanatumia njia ya basi. Wengi wao ni wafanyabiashara ambao mabasi imekuwa kama 'shuttle" kwao.
Ndo maana daily basi si chini ya Nne hutoka Tunduma kwenda dsm same from Kyela kwenda Dsm
Ni kweli kabisa, jiji la Mbeya kwa siku kuna magari makubwa zaidi ya kumi na sita (16) yanayotoka hapo kwenda Dar es Salaam (SUMRY Matatu, Mbeya Express Moja, Green Star Moja, Hekima Moja, Lutweledi Moja, Budget Moja, Upendo Moja, Prince Muro Moja, Nganga Moja/Mbili, Al Saed Moja, Abood Moja/Mbili, Hood Moja/Mbili, Jenjela Moja, na mwengine taja mwenyewe). Hapo hujataja yanayotoka Kyela, Tunduma, na yale ya Wamalawi yanayotoka Malawi, na pia yale yatokayo Zambia. Pia hujaongelea magari yatokayo Mbeya kwenda Iringa, Songea, Dodoma, na Arusha. Mbeya ni eneo potential sana kwa watu kupata wateja wa usafiri wa ndege. Ajabu mpaka sasa bado kuna vindege vidogo ambavyp vinatoza wastani wa dola 350 kwenda Dar es Salaam tena sio go and return.
 
Kuna mzungua alikuwa nakuja Mbeya akaambiwa ni 850km toka dsm akauliza ni nchi ingine au bado ni Tz?Swali la pili akauliza is it necessary twende kwa gari?hamna fast moving trains au ndege maana ni umbali mrefu!
Dreva wake akamjibu this is Africa ivyo unavyovisema uku havipatikani

Hahahahaaaa aisee ni kweli alistahili kustaajabu huo umbali kusafiri kwa gari...Mi nilisafiri toka arusha hadi mbeya kwa kweli ni mbali saaaana.
 
Back
Top Bottom