...Songea Wanaokota Mabunda Ya Noti...Wahi Utajirike!

Hizi zitakuwa zilifichwa na majambazi/wezi baada ya kuibiwa au ni wale watu wasiojua maana ya benki wamefariki na kuziacha chini ya ardhi.

Sivyo Charity!..
Ni kwamba zinatokea kila baada ya muda fulani, zinang'ang'aniwa, zinaisha, zinatokea tena, ndo maana watu wamehamia hapo wanasubiri!...kuna utata fulani na hii maneno!
 
Sivyo Charity!..
Ni kwamba zinatokea kila baada ya muda fulani, zinang'ang'aniwa, zinaisha, zinatokea tena, ndo maana watu wamehamia hapo wanasubiri!...kuna utata fulani na hii maneno!

Dah sijui lakn.Si unajua hizi taarifa za kuletewa zishatafsiriwa vingine mpaka zije zitufikie.Lakn mie naona kama kuna exaggeration kiasi fulani.
 
Hizi zitakuwa zilifichwa na majambazi/wezi baada ya kuibiwa au ni wale watu wasiojua maana ya benki wamefariki na kuziacha chini ya ardhi.

sasa kama ni hivo sizitakuwa zimeisha maana watu wameziokota
inakuwaje bado wanzisubiria na nyingine 'zitokee' if that is the case?

@PJ hebu eleza vizuri, zinatokeaje hizo noti?
 
sasa kama ni hivo sizitakuwa zimeisha maana watu wameziokota
inakuwaje bado wanzisubiria na nyingine 'zitokee' if that is the case?

@PJ hebu eleza vizuri, zinatokeaje hizo noti?
Si unajua wabongo kwa dezo dezo!akili zao zinawatuma kuwa muujiza utaendelea na ndio maana wanasubiri badala ya kwenda kufanya kazi.
 
Dah sijui lakn.Si unajua hizi taarifa za kuletewa zishatafsiriwa vingine mpaka zije zitufikie.Lakn mie naona kama kuna exaggeration kiasi fulani.
Movie imepigwa live toka eneo la tukio, na watu wanajieleza kwamba wanachosubiri hapo ni fedha za muujiza zitokee, ili wapate!..period!...Kama wanafanya exaggeration, for whose benefit, if not time wastage?
 
Duh! Na benki kuu haijatoa statement yeyote! Huu utakuwa uongo! Wanataka kuangusha mfumo mzima wa uchumi wa Tz? Kumbukeni: Too much money = INFLATION!
 
Si unajua wabongo kwa dezo dezo!akili zao zinawatuma kuwa muujiza utaendelea na ndio maana wanasubiri badala ya kwenda kufanya kazi.

Na kwa kuwa wengi wetu hatuna ajira wamepata sehemu ya kupotezea siku naamini wengine watamua kulala hapo hapo
 
Si unajua wabongo kwa dezo dezo!akili zao zinawatuma kuwa muujiza utaendelea na ndio maana wanasubiri badala ya kwenda kufanya kazi.

mmmh Janga!!!!

hivi sisi tutajifunza lini kwamba hakuna shortcut ya kupata maendeleo??
huyu buree huyu.............
 
sasa kama ni hivo sizitakuwa zimeisha maana watu wameziokota
inakuwaje bado wanzisubiria na nyingine 'zitokee' if that is the case?

@PJ hebu eleza vizuri, zinatokeaje hizo noti?

Zinavyotokea sijui, actually ndo maana hii ni NEWS, in the first place...na ndo maana waandishi wamepiga kambi huko kushuhudia, na tunangoja mwishowe itakuwaje!! ...Lakini kwa ufupi , ni kwamba haziishi, na jana ilikuwa siku ya 3 watu wamaendelea kuokota!...zaidi ya hapo sijui kitu!
 
Zinavyotokea sijui, actually ndo maana hii ni NEWS, in the first place...na ndo maana waandishi wamepiga kambi huko kushuhudia, na tunangoja mwishowe itakuwaje!! ...Lakini kwa ufupi , ni kwamba haziishi, na jana ilikuwa siku ya 3 watu wamaendelea kuokota!...zaodi ya hapo sijui kitu!

nimekuelewa bro!!
nakushauri hivyo viroba mnywee huko huko nyumbani au hata kwa 'Stella' in that case.....
 
Movie imepigwa live toka eneo la tukio, na watu wanajieleza kwamba wanachosubiri hapo ni fedha za muujiza zitokee, ili wapate!..period!...Kama wanafanya exaggeration, for whose benefit, if not time wastage?[/QUOTE]



Sijajua hasa uhalisia na ukweli wa habari hizi na sina sababu ya kubisha sana.
Lakn WHO CARES about time in afrika?(no hurry in africa)Hatujui thamani ya muda,kwa hiyo hata tukipoteza ni sawa tu.
Na kama sijakosea NOBODY knows the real source of that money.Na ndio maana wote tuna-guess tu mpaka sasa hakuna jibu sahihi.
 
Nadhani hapa kuna wajanja wanacheza mchezo. Wanafanya ku-divert attention ya watu flani kwa madhumuni flani, tunalizwa hapa jamani, au tuko katika mchakato wa kulizwa. Sasa kama tuna polisi au watu wa usalama makini basi tutaona,tutajua na watu watakamatwa,otherwise itapita na watu watakuwa washatimiza kusudio lao
 
Mzee mwenye nyumba, Hizo ni dalili za kukithiri kwa umasikini, kukata tamaa na kukinai maisha, Haiingii akilini ni kwa vp unaweza kwenda kusubiri pesa zidondoke?
Acha utani wewe, watu wameshaona chemchem ya hela unataka wasubiri mpaka mahindi yakauke, wavune kisha watapeliwe na wazee wa lumbesa??
 
Kwenye taarifa ya TBC1 jana , kulikuwa na habari za kimiujiza kutoka huko Songea, ambapo kuna mahali pamegundulika kuwa na kisima au chanzo cha pesa cha kipekee, na watu wengi wa rika mbalimbali wamehamia hapo na wanajiokotea noti za denomination mbalimbali(shs 500/=,1000/=, 2000/= 5,000/= na 10,000!

Akiripoti tukio hilo la ajabu, mwakilishi wa TBC1 Songea, Gerishon Msigwa aliwasili eneo la tukio, ambapo alihojiana na umati wa watu waliokuwa hapo wakisuburi neema hiyo ya bure, na wengi walikiri kuokota mabunda ya noti, wengine laki moja, wengine 20,000, wengine 5000 na kadhalika, na kwamba ni siku kadha sasa tangu miujiza hiyo ilipoanza kutendeka eneo hilo! ....mwanajamvi ushawahi kubahatika hivi maishani?

Mimi nimejaribu kufikiria juu ya hili suala, nahisi ni aina fulani ya ushirikina, ambapo baadaye utakuja leta madhara kwa baadhi ya watu, hasa wanaozimiliki baada ya kuokotwa!


Ama kweli Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Bombambili huko Songea!

Ndio maana Watanzania tulipoambiwa maisha bora kwa kila Mtanzania haraka tukaweka tiki CCM. Wote tunataka fweza bila kufanya kazi. Hii yote ni umaskini wetu uliochanganyika kwa kiasi kikubwa na utapiamlo wa elimu. Mwandishi aliyekwenda hiyo sehemu ni bure ,scientifically hela itatokaje kwenye kisima??? Nadhani angeanzia kuelezea hiyo theory na mwisho wa story yake ndo angesema kutokana na hilo watu wamejaa hapo. News editor aliyeinunua hiyo story naye ni bure na aliyeamua kuirusha ndio kabisa.

BBC katika uchunguzi wao hawakukosea kabisa, televisheni ya taifa kurusha upuuzi huo ni kuonyesha kuwa tunaamini juju.
 
PJ.asante kwa taarifa mzee.ngoja nami nikakate ticket ya Bus ili niwahi huo mgao wa manoti ya bure bure Huko Songea, MAKE WA-TZ KWA KUPENDA VYA DEZO HATUJAMBO.
 
Back
Top Bottom