Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Niko songea muda huu, polisi wanarusha mabomu ya machozi ovyo.
Kuna taarifa ambazoo sijazithibitisha kuwa mtu mwingine ameuwawa mchana huu, na nyingine zinasema wananchi wamekamata wauwaji wawili, nachoweza kuthibitisha ni maandamano na mabomu ya machozi. Nikipata za ndani kutoka kwa wenyeji nitazileta hapa.
Kamanda ni heri ajiuzuru!
Kuna taarifa ambazoo sijazithibitisha kuwa mtu mwingine ameuwawa mchana huu, na nyingine zinasema wananchi wamekamata wauwaji wawili, nachoweza kuthibitisha ni maandamano na mabomu ya machozi. Nikipata za ndani kutoka kwa wenyeji nitazileta hapa.
Kamanda ni heri ajiuzuru!