Nimeambiwa ccm wamekopa pesa bank kwaajili ya kuwalipa watu wa kwenda kwenye mkutano.hivyo nawashauri wananchi wazichangamkie hizo pesa za nguvu.ni nape katuma kupitia account ya mwenyekiti wa ccm mkoa na waziri nchimbi.chadema inatisha
Huyo Nchimbi n kawaida yake, mara kwa mara anafanya hvyo pale CDM wanapotaka kufanya mkutano. Nakumbuka mwaka jana nilikuwa hapo majengo p/s nchimbi kakusanya wamama kbao toka sehm tofaut kwa malor kuja mkutanon na kuwagawia elf 2 kila m1.
Sijui kwa kuwa yy n wazr ama ndo nn sasa. Nashukuru CDM last electn hapo songea mjini tulpata kata 5 kati ya 11.
Safari hii tutapata uzushi wa kutosha.Usijifariji,tambua CCM haijafa bado nzima na wapiga kura wake ndio hao walioko Vijijini huko.Kipimo cha umaarufu wa chama ni box la kura na si mikutano hivyo jiandae kulinda box la kura ili upate kipimo cha umaarufu wa chama chako.Mzee naona unamasaa machache tu toka ujisajiri karibu kamanda.
Safari hii tutapata uzushi wa kutosha.Usijifariji,tambua CCM haijafa bado nzima na wapiga kura wake ndio hao walioko Vijijini huko.Kipimo cha umaarufu wa chama ni box la kura na si mikutano hivyo jiandae kulinda box la kura ili upate kipimo cha umaarufu wa chama chako.(Mzee naona unamasaa machache tu toka ujisajiri karibu kamanda).