Songas ready for power generation contract review

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
2008-03-22 09:48:25
By Perege Gumbo


The gas-to-electricity company Songas says will be ready for any open process aimed to review terms of its power generation contract with the government on a win-win basis.

The remark comes from Songas Chief Legal Officer Reuben Mwaikinda in response to written questions which sought to know company stand regarding parliamentary committee opinion which has suggested that all independent power generation contracts be re-examined for improvement.

More details
 
Sijui kwanini bado tunalazimisha hii sheria ya makampuni mengine lazima yauzie umeme Tanesco then Tanesco ndio watuuzie sisi? mambo ya ajabu sana haya na hayasaidii chochote katika maendeleo ya nchi ...kule Mtwara kuna kampuni ina uwezo wa kuzalisha almost 500MW lakini hawawezi kufanya biashara maana lazima wawauzie Tanesco,cha ajabu Tanesco zaidi 50% ya umeme wananunua kutoka makampuni binafsi huku ya kwao ikiendelea kuwa burden tuu kwa walipa kodi,matatizo ya umeme na mgawo ni TANESCO na sheria zilizopo bila kuondoa monopoly na kubadilisha sheria mgawo ni order of the day... forever!!
 
Back
Top Bottom