Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akiondoka Chakechake baada ya kuweka jiwe la Msingi
katika Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Tanga.
Wananchi wengi hawafahamu tofauti ya ziara za viongozi ni ipi ya kichama na ipi ya kiserikali. Viongozi nao wanapaswa kubeba lawama kwa kutotoa elimu hiyo kwa wananchi na kubaki bubu hata mambo yanapokuwa hadharani ya kichama wakati ni ziara ya kiserikali inayowahusu wananchi wote. Ni busara ya kawaida tu ambayo viongozi wanapaswa kuifanya kutoa elimu hiyo lakini it looks like government officers are missing something in common sense.