Somo la Uraia kutofautisha ziara ya kichama na kiserikali

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
BB3.jpg

Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akiondoka Chakechake baada ya kuweka jiwe la Msingi
katika Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Tanga
.

Wananchi wengi hawafahamu tofauti ya ziara za viongozi ni ipi ya kichama na ipi ya kiserikali. Viongozi nao wanapaswa kubeba lawama kwa kutotoa elimu hiyo kwa wananchi na kubaki bubu hata mambo yanapokuwa hadharani ya kichama wakati ni ziara ya kiserikali inayowahusu wananchi wote. Ni busara ya kawaida tu ambayo viongozi wanapaswa kuifanya kutoa elimu hiyo lakini it looks like government officers are missing something in common sense.
 
Wananchi wengi hawafahamu tofauti ya ziara za viongozi ni ipi ya kichama na ipi ya kiserikali. Viongozi nao wanapaswa kubeba lawama kwa kutotoa elimu hiyo kwa wananchi na kubaki bubu hata mambo yanapokuwa hadharani ya kichama wakati ni ziara ya kiserikali inayowahusu wananchi wote. Ni busara ya kawaida tu ambayo viongozi wanapaswa kuifanya kutoa elimu hiyo lakini it looks like government officers are missing something in common sense.

CCM siasa ya chama kote kote, vigumu kuelewa hawa waliotoka kwenye mfumo wa chama kimoja kushika hatamu za uongozi kutofautisha kwa kiwango unachofikiria wewe
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, hivyo hatushangai kuona mambo hayo kwa vile yameandaliwa na wanaCCM wenyewe, nguo zimegawiwa nao kabla ya mikutano sasa elimu gani ya uraia watayotoa inayopingana na ideology yao?
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, hivyo hatushangai kuona mambo hayo kwa vile yameandaliwa na wanaCCM wenyewe, nguo zimegawiwa nao kabla ya mikutano sasa elimu gani ya uraia watayotoa inayopingana na ideology yao?


Kwa vyo vyote mimi binafsi sipendezwi na hulka ya uchama tunapokuwa katika mikusanyiko inayowakutanisha watu wa itikadi mbalimbali na tofauti. Hapa tunahitaji kutanguliza utaifa ndio umoja utaimarika. Itikadi za kichama ni kipindi cha kampeni kwa vile ni wakati wa kunadi sera, kwa sasa ni utendaji unaohitajika.

Kutanguliza uchama ni ufinyu wa upeo wa kufikiri. Ndio maana unaona uchama hauna manufaa zaidi ila sera kwani kwa sasa sera zinazotekelezeka ni za vyama vyote vya siasa kama Katiba mpya sera ya chama cha upinzani. Sasa tunatakiwa kuunganisha nguvu.
 
Na hili ndilo linalo waua kisisa kila mara kiongozi mkuu wa serkali anapotembelea mahali lazima wavae manguo yao kijani mkutano mzima watu wengi tunashindwa kutofautisha ipi ni mikutano ya NAPE na ipi ya SERIKALI

 
Na hili ndilo linalo waua kisisa kila mara kiongozi mkuu wa serkali anapotembelea mahali lazima wavae manguo yao kijani mkutano mzima watu wengi tunashindwa kutofautisha ipi ni mikutano ya NAPE na ipi ya SERIKALI


Wanachotakiwa ni viongozi wenyewe wa kitaifa kutamka hadharani ili kuwaelimisha wananchi, lakini kumezea ni dalili za wao kuandaa mazingira hayo ambayo yanafanya wasogelewe na wa kijani tu na wananchi walio wengi ambao hawana itikadi za kichama watasepa.
 
Kwa vyo vyote mimi binafsi sipendezwi na hulka ya uchama tunapokuwa katika mikusanyiko inayowakutanisha watu wa itikadi mbalimbali na tofauti. Hapa tunahitaji kutanguliza utaifa ndio umoja utaimarika. Itikadi za kichama ni kipindi cha kampeni kwa vile ni wakati wa kunadi sera, kwa sasa ni utendaji unaohitajika.

Kutanguliza uchama ni ufinyu wa upeo wa kufikiri. Ndio maana unaona uchama hauna manufaa zaidi ila sera kwani kwa sasa sera zinazotekelezeka ni za vyama vyote vya siasa kama Katiba mpya sera ya chama cha upinzani. Sasa tunatakiwa kuunganisha nguvu.

hv unajua itifak we
 
hv unajua itifak we

Nisingeifahamu ningekuwekea tathmini hyo ya upembuzi wangu kwa mwono wa kitaifa> Itifaki ni mlengo wa kimatabaka na mimi nipo katika mlengo wa umoja wa kitafia na mshikamano wa kitaifa.
 
Back
Top Bottom