Na hiyo ni topic on how to render curves and hyperpolic paraboloid curves...hiyo kitu huwa balaa anapoletwa mwanamke wa ki-africa mwenye minyumbuliko mwili mzima...utata mtupu na lazma nusu 3/4 ya male students wanafeli somo hili.
Nilikuwa napenda sana kuchora na upakaji wa rangi. Picha zangu zilikuwa zinakubalika sana kwa waalimu. Mambo ya kuchagua masomo yakafanya niliache hilo somo kwa shingo upande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.