Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Wewe mulugo huwezi elewa nikisema "nina banda" kwenye number.
mulugo mwenyewe ana banda lako plus la newton
Wewe mulugo huwezi elewa nikisema "nina banda" kwenye number.
Sema hak'ya Mungu...!!mulugo mwenyewe ana banda lako plus la newton
sio makunja.alikuwa anaitwa Tandike makunja saiv ni afisa elimu sekondari huko serengeti
Aise umenikumbusha mbali sana niligonga 7% ya mzungu kwenye mechanicsMR BRICE YULE MZUNGU MNAMKUMBUKA WANDUGU? DAH COMPLEX NOUMA WANDUGU IL SASA HIVI NI ST. JOHN
Tandike alikuwa na porojo sana
Mkuu mazengo Noma Sana, ndio maana jamaa zetu wengi waliamia tambaza , tosa , mkwawa etc , mgalula kwenye physics alikuwa anajitahidiSiku ya kwanza Mwalimu wa Physics advance anaingia darasani (Mazengo secondary), anajitambulisha kwa jina anaitwa MKOMA. Anaongea mambo mengi ya kujenga na kuongeza ufaulu, anazungumzia Timed test dah napata shauku kubwa sana nagundua kuwa ndoto zangu za kupiga div 1 ya point tatu na kutia heshima TZ nikiwa TO kutoka PCB zinakamilika.
Khaaa Imani inaniisha napatwa na mashaka siku iliyofuata siku ambayo mwalimu Mkoma anakuja kufundisha rasmi, aysee mwalimu wa Physics ana chaki tano kila moja na rangi yake, ana rula ndefu sana na nyingine fupi, ana duster la kufutia ubao.
Ooooh My God,anapiga mstari wa pambizo na chaki nyekundu. anaandika juu MECHANICS na chaki ya rangi ya njano anapigia mistari miwili na chaki ya blue.Anaandika Tarehe na chaki nyeupe,anakosea kidogo mwaka anarudi kuchukua duster.
Lahaula anachukua notes zake anakopi pale ubaoni kwa chaki nyeupe, ana mwaandiko mzuri sijapata kuona.Hata mwalimu wa Kiswahili na historia walionifundisha O level hawajawahi kuandika hivyo.
Ana maliza dakika zake 45, anasema kesho tutaendeleza sehemu inayofuata kwa leo nimemaliza mwenye swali tafadhali. Darasa zima linaangua kicheko, yeyee anasema mnafurahi haya bwana huyo anakusanya vitu vyake anasepa.
Mara anaingia Mwalimu wa Chemistry anasema yeye anaitwa Mutta au Anold Shwaziniga, amevaa miwani kama kwenye Terminator. Yeye ni beat mwanzo mwisho anasema kuna wenzetu waliotangulia walimuiba notes sasa amegoma hagawi tena notes hivyo tujitafutie.
Dahh wingu naliona katika haya masomo mawili nagundua sasa ni msuli binafsi na kukomaa na tution.. Ama kweli Physics na Chemistry Mazengo Secondary siwezi kuisahau kabisaa..
Ile shule Kwa o level Sawa wako vizuri, hi level ni tabu tupu , tatizo sio wanafunzi tatizo ni shule yenyeweWalini disappoint sana sana kubadili Ile shule na kuwa chuo very Disappointing
Tandike
Habari za Mirembe mkuu..Hahaha..
Ulitoka na ngapi?
Mambo ya 2,3-diethyl,4,5-dichloro,benzene.
Uko sahihi mkuu, huwa tunaanza na Halogens kwanza halafu zinafuatia Alkyl groupsmkuu ni 4,5-dichloro-2,3-diethylbenzene inaonekana we ni graduate BscEd
banda la kuku alikujengea