Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ni jambo la kusikitisha sana kuona somo la Jiografia linazidi kufanya vibaya pamoja na umuhimu wake. Kuna mambo mengi yanayochangia kufanya vibaya kwa somo hili na wadau wamekaa kimya katika taifa hili lililokosa mwelekeo. limekosa mwelekeo wakati ni tegemeo na kiungo muhimu kwa michepuo mingi kuliko somo lolote Tanzania.
Binafsi ni mdau na mwalimu wa somo husika na leo naanzisha thready hii wenzangu mchangie kwani najua nyie ni miongoni mwa waathirika hawa. Zifuatazo nisababu za kufanya vibaya kwa somo hili kwenye mitihani ya taifa.
Kwanza ni NECTA na Taasisi ya ukuzaji mitaala kwa kukaliwa na watu ambo binafsi ama hawajui walifanyalo au wamejaa ujuaji unaozidi kipimo na usioendana na wakati wa sasa.
Hawa jamaa wamekuwa wakitoa syllabus ambazo hazieleweki na mfano mzuri ni hii ya sasa ambayo ni ya 2005. Haileweki katika maeneo mengi ila mija ni kutokuwa na maelekezo ya moja kwa moja ya mambo gani yafundishwe.
Wamekuwa wakitoa maswali nje ya muktasari uliopo hasa kwa olevel
Pili,Walimu pia wan aochaguliwa ni walewale katika kutunga na kuhakiki na au kusahihisha mitihani kwa njia ya upendeleo kwamba ni somo rahisi na kila mtu anaweza kufundisha au kufanya chocho. Ni waalimu hawa hawa wanao pewa ulaji kilaini hutunga maswali magumu ili wakubalike kwa wateuzi wao bila kujali janga la kitaifa. Huu sasa ndo upumbavu.
Tatu, wizara imekuwa haina vitabu vya somo ata kwa kuviagiza nje na wachakachuajiwamekuwa wakijiamulia kutunga watakayo na ambayo hayaidhinishwa na wizara, wako wachapishaji wengi mtaani na hii huongezea mkanyiko kwa wanafunzi. Kwa mfano hakuna kitabu cha Research cha Secondary!!!! Pia chain survey imapitwa na wakati na hakuna ata shule moja yenye vifaa vyake.
Kuna jambo la nne la tuition na waalimu feki ambao wengi wao ni wale wenye dvs o na 4 ya kidato cha nne au sita. na kwa kawaida hawa ndo wamekuwa naTuitiion centre kubwa hapa TZ.
kuna Upuuzi mwingi, wadau changieni ili ata vyombo vya habari vitusaidie kutatua tatizo hili. Ni mengi ila naomba kuwasilisha.
Binafsi ni mdau na mwalimu wa somo husika na leo naanzisha thready hii wenzangu mchangie kwani najua nyie ni miongoni mwa waathirika hawa. Zifuatazo nisababu za kufanya vibaya kwa somo hili kwenye mitihani ya taifa.
Kwanza ni NECTA na Taasisi ya ukuzaji mitaala kwa kukaliwa na watu ambo binafsi ama hawajui walifanyalo au wamejaa ujuaji unaozidi kipimo na usioendana na wakati wa sasa.
Hawa jamaa wamekuwa wakitoa syllabus ambazo hazieleweki na mfano mzuri ni hii ya sasa ambayo ni ya 2005. Haileweki katika maeneo mengi ila mija ni kutokuwa na maelekezo ya moja kwa moja ya mambo gani yafundishwe.
Wamekuwa wakitoa maswali nje ya muktasari uliopo hasa kwa olevel
Pili,Walimu pia wan aochaguliwa ni walewale katika kutunga na kuhakiki na au kusahihisha mitihani kwa njia ya upendeleo kwamba ni somo rahisi na kila mtu anaweza kufundisha au kufanya chocho. Ni waalimu hawa hawa wanao pewa ulaji kilaini hutunga maswali magumu ili wakubalike kwa wateuzi wao bila kujali janga la kitaifa. Huu sasa ndo upumbavu.
Tatu, wizara imekuwa haina vitabu vya somo ata kwa kuviagiza nje na wachakachuajiwamekuwa wakijiamulia kutunga watakayo na ambayo hayaidhinishwa na wizara, wako wachapishaji wengi mtaani na hii huongezea mkanyiko kwa wanafunzi. Kwa mfano hakuna kitabu cha Research cha Secondary!!!! Pia chain survey imapitwa na wakati na hakuna ata shule moja yenye vifaa vyake.
Kuna jambo la nne la tuition na waalimu feki ambao wengi wao ni wale wenye dvs o na 4 ya kidato cha nne au sita. na kwa kawaida hawa ndo wamekuwa naTuitiion centre kubwa hapa TZ.
kuna Upuuzi mwingi, wadau changieni ili ata vyombo vya habari vitusaidie kutatua tatizo hili. Ni mengi ila naomba kuwasilisha.