mkuu mimi sio muumini wa hizo imani potofu. ndoto ni kama hii ni marudio ya mambo yaliyopita. macho yetu na ubongo ni kama video recorder. wakati mwingine huwa vinajirudia vitu tulivyovirecord kwa kujua au kutokujua.Hua Unaota Unafanya Mtihani?
Mnh!Pana Tatizo Apo Njoo Nikusaidie Kabra Alijawa Kubwa.Kuna Mtu Anataka Kuku Ibia Vyeti
Mi Ni Mtabiri Wa Nyota We Njoo Pm
Hahahah mbona ulifaulu C sio failure.mie kiswahili na nilifeli kwa kupata C = Mwalimu alikuwa anaboa sana mnene dunia nzima hakuna akija anakaaa anaanza kuimba mashairi!! f**** offf