nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
mnasema ati kazini, mtaani, sijui kanisani e.t.c...njoo kwenye centre ya vituko...Higher Learning Institutes...acheni tu!
mpaka CBE wamepiga ban hivyo "vipande vya nguo" watu walikuwa wanavaa terrible!
huku kitaa kuna kivazi kinanikera beyond explanation...zile gauni ndeeeefu alafu zinachomekewa kwenye c.HU.pi kama vile anataka kucheza "rede"...
kwani kujiexpose mchana mchana ni lazima lakini....aghrrr..anyway tatizo wengine wakiambiwa hawasikii
mpaka CBE wamepiga ban hivyo "vipande vya nguo" watu walikuwa wanavaa terrible!
huku kitaa kuna kivazi kinanikera beyond explanation...zile gauni ndeeeefu alafu zinachomekewa kwenye c.HU.pi kama vile anataka kucheza "rede"...
kwani kujiexpose mchana mchana ni lazima lakini....aghrrr..anyway tatizo wengine wakiambiwa hawasikii