Kama sio nchi mbona hazijasajiliwa morogoro ?Mpaka kieleweke, jamuhuri ya watu wa Zanzibar kwanza. JMT dhaifu na omba omba, lazima wafuate amri ya bwana Mzungu. Sasa bado ndoa za jinsia moja. Wahenga walisema ''Bure ghali'' na hakuna msada usio malengo........Zanzibar siyo nchi. Haitambuliki kimataifa.