The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Hivi huyu Jamaa ilikuwa mwaka 1958 kawaza haya na leo ni miaka zaidi ya hamsini yanatendeka haya, Swali, je tunaviongozi wa kuwaza hivi?
View attachment 53960
Haya yote tunayaona leo. Mengine yanafanywa na vibaraka wachache lakini mengine kwa kupitia wabunge wetu bungeni yanapata baraka za 'waserikali'