Somalia somalia somalia

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Shida hasa nn hii inchi imekosa amani kabisa nani atathubutu kuisaidia itoke kwenye hilo janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Shida hasa nn hii inchi imekosa amani kabisa nani atathubutu kuisaidia itoke kwenye hilo janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Ni wenyewe tu kukaa kutafuta muafaka,lakini kwa sababu kikundi cha Al shabab kinasaidiwa na Al quieda, Osama Bin Laden ameishafariki nafikiri kitakuwa kimepungukiwa nguvu.
 
unaonaje tukianza mimi na wewe kuwasaidia..kuliko kusubiri hao wengine??
 
Shida hasa nn hii inchi imekosa amani kabisa nani atathubutu kuisaidia itoke kwenye hilo janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe.


"No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
- Julius Kambarage Nyerere, from his A Peaceful New Year speech given in Tanzania on 1 January 1968.


 
unaonaje tukianza mimi na wewe kuwasaidia..kuliko kusubiri hao wengine??

ah.. Kaka tutaendaje maana najaribu kufikiri wanataka nn kwa ajili ya maisha yao kiukweli vita si nzuri inafuta ndoto za maisha ya watu wengi
 
"No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
- Julius Kambarage Nyerere, from his A Peaceful New Year speech given in Tanzania on 1 January 1968.



hata kama haki za msingi za raia zinavunjwa other nation cannot intervein to make the state into peace
 
Ni inchi yenye dini moja ,lugha moja,ila tofauti zao ni makabila na nchi za Afrika ni chache Uganda na burundi ndo wamejitahidi kurejesha amani,ila tatizo ni watu wenyewe wa somalia mbona hawajamua kwa dhati kuitaka amani ?kweli dunia inakubali kuangali a somalia ikijizika?
 
Back
Top Bottom