LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Kuna michezo mibaya tulifanya tukiwa watoto. Mmojawapo ni wa kupiga mawe mbwa wenye kichaa. It is a very unpleasant and disturbing sight, nikikumbuka sauti huyu mbwa alizokuwa akitoa, mwili una sisimka.
Sasa binadamu apigwe mawe hadi kufa...!
Halafu eti hizi ni fikra za wakuu wa dini; hii haijakaa sawa.
.
Sasa binadamu apigwe mawe hadi kufa...!
Halafu eti hizi ni fikra za wakuu wa dini; hii haijakaa sawa.
.