Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
He baadae mods waipeleke kwenye jukwaa la dini...naona watu wanatumia reference..za kweli...kuna vichwa balaa.....ila all in all this stoning women and leave men..sikubaliani nayo..na ni sharia ya kiislam ambayo inabidi kupigwa kwa nguvu kubwa...
Amini nakwambia kama ikikufika hii unakana dini yako..na kuendelea na mengine....kwani imejaaa uonevu kwa wanawake kuliko maelezo...wanaume wamepewa nafasi kubwa sana ya kufanya uzinzi.....na nafasi ya kuwapiga hata wanaofanya nao uzinzi..baada ya kukamatwa....this is really uislam....!!!
Amini nakwambia kama ikikufika hii unakana dini yako..na kuendelea na mengine....kwani imejaaa uonevu kwa wanawake kuliko maelezo...wanaume wamepewa nafasi kubwa sana ya kufanya uzinzi.....na nafasi ya kuwapiga hata wanaofanya nao uzinzi..baada ya kukamatwa....this is really uislam....!!!