Somalia: Girl stoned was a child of 13

He baadae mods waipeleke kwenye jukwaa la dini...naona watu wanatumia reference..za kweli...kuna vichwa balaa.....ila all in all this stoning women and leave men..sikubaliani nayo..na ni sharia ya kiislam ambayo inabidi kupigwa kwa nguvu kubwa...

Amini nakwambia kama ikikufika hii unakana dini yako..na kuendelea na mengine....kwani imejaaa uonevu kwa wanawake kuliko maelezo...wanaume wamepewa nafasi kubwa sana ya kufanya uzinzi.....na nafasi ya kuwapiga hata wanaofanya nao uzinzi..baada ya kukamatwa....this is really uislam....!!!
 
Mpendwa Mchukia Mafisadi,
Ombi langu ni kuwa: Mungu aisafishe CCM, iwe inakubalika zaidi kwa WaTanzania, iendelee kutawala hadi kiyama.
Mungu Ibariki Afrika na watu wake.

Mchungaji, unakumbuka ule msemo "Mvinyo mpya kwenye kiriba cha zamani?" Matokeo yake yatakuwaje?
 
Sidhani hata hayo mafundisho wa huyo mungu wao yansema hivyo...!

Xlaster, ndiyo maana hatutakiwi kuruhusu kutawaliwa na sheria za kidini. Ikiwa sheria za kawaida tu mahakimu na majaji hutofautiana kwenye kutoa hukumu seuze sheria za kidini? Mbaya zaidi ni kuwa hizo sheria za Sharia hukumu zake ni kali zaidi kuliko sheria za kawaida mfano kosa la uzinzi (ingawa sitetei uzinzi kwa nguvu zote) adhabu ni kifo tena sijawahi kusikia mwanaume ameuawa kwa kupigwa mawe ila wanawake tu!, mfano mwingine wizi-mtu anakatwa mkono kwa kudokoa embe kwa sababu ya njaa! Mfano mwingine, Mtu kuuwawa kwa kuamua kuikana imani yake na kuhamia Imani nyingine! Inaweza kutokea mamia ya watu wakahukumiwa kifo!



Thats why we are saying
 
Panua uelewa wako hapa tafdhali:


[media]http://uk.youtube.com/watch?v=0XggTTnXfSI&feature=related[/media]

Mkuu MtindiowaUbongo asante kwa hii ilimu.

Mkuu Mama, umemuona mama mwenzako wa kiarabu/kiislamu?

Ushauri wangu bado upo pale pale, akina mama wote (females) wa kiislamu, ususieni uisilam ili muishi, la sivyo mtaendelea kupigwa mawe hadi kiama.
 
Hapa mama yangu sitii neno maana ni mtego.
Ila ushauri wangu kwako na kwa akina mama wote mnaofuata hii 'dini' isusieni ili msipigwe mawe hadi kufa.

Kwa mujibu wa shria za Kiisalmu, kuisusia (kuikana) Imani hiyo pia ni kosa la kuuwawa, tena ndugu zako mwenyewe ndo wanaotakiwa wakuuuwe na kwa anayemuuwa aliyeiasi Imani anaenda peponi kwa kumuua 'muasi' huyo!
 
Fuatilia hiki kisa cha Asmaa bint Marwan who used to critisize Islam:

When the apostle heard what she had said he said, "Who will rid me of Marwan's daughter?" Umayr b. Adiy al-Khatmi who was with him heard him, and that very night he went to her house and killed her. In the morning he came to the apostle and told him what he had done and he [Muhammad] said, "You have helped God and His apostle, O Umayr!" When he asked if he would have to bear any evil consequences the apostle said, "Two goats won't butt their heads about her", so Umayr went back to his people.
Now there was a great commotion among B. Khatma that day about the affair of bint [girl] Marwan. She had five sons, and when Umayr went to them from the apostle he said, "I have killed bint Marwan, O sons of Khatma. Withstand me if you can; don't keep me waiting." That was the first day Islam became powerful among B. Khatma; before that those who were Muslims concealed the fact. The first of them to accept Islam was Umayr b. Adiy who was called the "Reader", and Abdullah b. Aus and Khuzayma b. Thabit. The day after Bint Marwan was killed the men of B. Khatma became Muslims because they feared for their lives." (From Ibn Ishaq's "Sirat Rasul Allah" - Biography of the Prophet of Allah - the oldest and primary biography of Muhammad).


Baada ya hapo napendekeza uende hapa : Excuses and explanations relating to the death of Asma bint Marwan: ili uone excuses zinazotelewa na wapendwa 'wanyenyekevu' kuhusiana na mauaji haya ya kutisha ya huyu mama mshairi.

Kaazi kwelikweli..

Wakuu Mama na X-paster mnasemaje hapa?
 
Abu Dawud B2 #703:

Qatadah said: I heard Jabir ibn Zayd who reported on the authority of Ibn Abbas; and Shu'bah reported the Prophet (peace_be_upon_him) as saying: A menstruating woman and a dog cut off the prayer

Ndugu zangu, kama haya ni kweli, basi Mungu atusamehe wanaume maana tumewatesa sana wanawake.
 
Sahih Muslim B8 #3240 :

Jabir reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) saw a woman, and so he came to his wife, Zainab, as she was tanning a leather and had sexual intercourse with her. He then went to his Companions and told them: The woman advances and retires in the shape of a devil, so when one of you sees a woman, he should come to his wife, for that will repel what he feels in his heart.

God bless women
 
Sahih Bukhari V9 B89 #303 :

A bedouin came and said, "O Allah's Apostle! Judge between us according to Allah's Book (Laws)." His opponent stood up and said, "He has said the truth, so judge between us according to Allah's Laws." The bedouin said, "My son was a laborer for this man and committed illegal sexual intercourse with his wife. The people said to me, 'Your son is to be stoned to death,' so I ransomed my son for one hundred sheep and a slave girl. Then I asked the religious learned men and they said to me, 'Your son has to receive one hundred lashes plus one year of exile.' " The Prophet said, "I shall judge between you according to Allah's Book (Laws)! As for the slave girl and the sheep, it shall be returned to you, and your son shall receive one-hundred lashes and be exiled for one year. O you, Unais!" The Prophet addressed some man, "Go in the morning to the wife of this man and stone her to death." So Unais went to her the next morning and stoned her to death.


Double standards!!

Akina mama bado wanapigwa mawe hadi kufa.
Mungu saidia watu wako.l
 
Abu Dawud B38 #4442 :

I met my uncle who was carrying a standard. I asked him: Where are you going? He said: The Apostle of Allah (peace_be_upon_him) has sent me to a man who has married his father's wife. He has ordered me to cut off his head and take his property.

Ukimuoa mke wa babako unakatwa kichwa.
 
Mchungaji, unakumbuka ule msemo "Mvinyo mpya kwenye kiriba cha zamani?" Matokeo yake yatakuwaje?

Mkuu Ibrah kumbuka huu usemi pia: - Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekurndu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
 
natamani kuona hapo mahali pameandikwa mwanamke anapigwa mawe mwanamme anaachwa aende...nisaidieni!
 
Mkuu Ibrah kumbuka huu usemi pia: - Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekurndu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Teh! Kwa hiyo CCM wanachotakiwa ni kutubu tu ili waendelee kutawala? Mimi nabaki na msemo wa mvinyo mpya; ili maisha bora yawezekane inatakiwa tubadilishe na kiriba (CCM) maana sitegemei mti mchungu kuzaa matunda matamu na kiriba cha zamani hakiwezi kuhifadhi mvinyo mpya, kitapasuka!
 
If some1 can not follow simple narratives its very sad..

Mtindio,
ahsante sana kwa hii ilimu, tuliyoipata hapa.
naamini kuwa ni wengi wamepata kujua mawili matatu juu ya hizi adhabu za kuua hususan kwa wenzetu waislamu.nadhani ni wakati mwingine muafaka kwao kuipokea hii changamoto na kuifanyia marekebisho hiyo 'katiba" yao ili iwatendee haki viumbe wote.na vitu kama hivi ndivyo vinazidisha wasiwasi tulionao watanzania wengi kusikia kuwa serikali iko kwenye mchakato wa kujiunga na OIC na kuanzisha mahakama za kadhi.
 
Back
Top Bottom