Somali Pirates Hijack Ship with 20 Americans!

tukumbuke vita ya saddam kadri mataifa yalivokuwa yana lani na kadri wamarekani walivojifanya kutumia diplomasia lakini walikuwa wanalundika mivyombo yao,na haswa lile jidubwana wanaloliita boxer hilo likienda mahali halirudi bure,si rahisi kupoteza garama kulipeleka lile kama hakuna mpango wa vishindo,hapo vita itatokea na kuna wasomali walio nje ya somalia ambao wanaamini kuwa marekani inavizia tu itoe tiff halafu wakae hapo pwani milele kuangalia kisisafiri kitu kutoka nchi za africa kuja kwa hao magaidi,nikimaanisha hayo madini ya kutengeneza silaha za maangamizi,kwahiyo ndio washapata wakitafutacho,wataanzisha gomvi na baadae watajifanya wanalinda.
 
Hawa maharamia hawateki meli kwa jina la Somalia wala la Imani yao, wanafanya hivyo wakiwa na uhakika kwamba hiyo ni biashara kama biashara nyingine. Get Rich or die trying.
Watekaji hawa wa Kisomali hawana Dini, Imani wala mila katika shughuli yao ya kukamua michuzi wao watakacho ni Fedha.

Walikuwa wakija Tanzania na kuvuna Nyala za serikali wakifika kwao mogadishu wanauza ngozi za chui pembe za faru na Tembo kana kwamba Bustani ya Edeni iko uani kwao.

Wakaanza kuteka misafara ya watalii kule Arusha na kuiba fedha, mwishowe wakatambua kwamba wana risk maisha yao kwa fedha mbuzi.
Wakagundua utekaji meli.

Biashara zote Duniani zimejengwa kiharamia kwa kiwango fulani. Mwenye meli anakubali kutoa mshiko kwa Maharamia hawa wa Baharini lakini anajiapiza kwa jina la Faida kwamba ni lazima hawa Kenge waje walipe fedha yake.
Kwa kawaida mshiko wa nguvu huja na gharaama za nguvu, ambayo sasa hivi Wasomali wanaona hawatakiwi kuilipa kwa vile hawna serikali ambayo wanawajibika kwake. Ili mradi wamejiingiza wenyewe kwenye 18 watajiju.

Dots zitakapo anza kuunganishwa vifo vitawavinjari walokuwemo na wasio kuwemo.
 
capt.photo_1239489179377-1-0.jpg


A member of a special Navy escort walks down a stairway of the US merchant ship Maersk Alabama at a dock in the Kenyan coastal city port of Mombasa


MOMBASA, Kenya — Nineteen American sailors who escaped a pirate hijacking off the Horn of Africa reached safe harbor on Saturday, exhilarated by freedom but mourning the absence of the captain they hailed for sacrificing his freedom to save them.

With a throng of reporters shouting questions from shore, the crew of the Maersk Alabama described an ordeal that began with Somali pirates hauling themselves onto the deck from a small boat bobbing on the surface of the Indian Ocean far below.

"They came from the stern of the ship and came on with hooks and ropes and were firing in the air when they got on board," said ATM Reza, a crew member who said he was the first to see the pirates board Wednesday.

As the pirates shot in the air, Capt. Richard Phillips, 53, of Underhill, Vermont, told his crew to lock themselves in a cabin and surrendered himself to safeguard his men, crew members said. Phillips was still held hostage in an enclosed lifeboat Saturday by four pirates being closely watched by U.S. warships in an increasingly tense standoff. A Pentagon spokesman said negotiations were ongoing.

"He saved our lives!" second mate Ken Quinn, of Bradenton, Florida, declared from the ship as it docked in the resort and port city of Mombasa. "He's a hero."

Reza, a father of one from Hartford, Connecticut, said that he had led one of the pirates to the engine room, where he stabbed him in the hand with an ice pick and tied him up. Other sailors corroborated that story.

The crew did not elaborate Saturday but have told family members by phone that they took one pirate hostage before giving him up in the unfulfilled hope their captain would be released. Instead, the Somalis fled with Phillips to the lifeboat.

Some of the Alabama's crew cheered and cracked jokes as they arrived in Mombasa, others peered warily over the edge of their 17,000-ton cargo ship.

US ship reaches Kenya minus kidnapped captain


capt.photo_1239489042424-1-0.jpg


ra2179532825.jpg


The Maersk Alabama is seen passing a ferry on arrival at the port of Mombasa April 11, 2009.

capt.b02f6da520c34e4fa6967d9c762626cb.kenya_piracy_xsa113.jpg


capt.d31dfc28e1444445931cfc70919f95e6.kenya_piracy_xkp107.jpg


An unidentified armed man is seen on deck of the American ship, the Maersk Alabama, whose captain remains held hostage by Somali pirates, as it arrives in Mombasa, Kenya, guarded by Navy Seals and with the 19 remaining crew members aboard,

 
CNN) -- The captain of the Maersk Alabama was freed Sunday after being held captive since Wednesday by pirates off the coast of Somalia, a senior U.S. official with knowledge of the situation told CNN.
art.captain.family.photo.jpg
Capt. Richard Phillips of the Maersk Alabama is being held by pirates on a lifeboat off Somalia.



The official said Capt. Richard Phillips is uninjured and in good condition, and that three of the four pirates were killed. The fourth pirate is in custody. Phillips was taken aboard the USS Bainbridge, a nearby naval warship.
Earlier Sunday afternoon Maersk Line Limited, owner of the Maersk Alabama, said the U.S. Navy informed the company that it had sighted Phillips in a lifeboat where pirates are holding him.
Phillips was spotted another time earlier in the day, the Navy said.
On Saturday, the FBI launched a criminal investigation into the hijacking of the U.S.-flagged cargo ship by Somali pirates, two law enforcement officials told CNN. The probe will be led by the FBI's New York field office, which is responsible for looking into cases involving U.S. citizens in the African region, the officials said.
The Maersk Alabama reached port in Mombasa, Kenya, on Saturday. Crew members aboard the freed cargo ship described how some of their colleagues attempted to "jump" their pirate captors.
A scuffle ensued and one of the sailors stabbed a pirate in the hand in the battle to retake the container ship, one of the sailors told CNN.
Snippets of information are starting to emerge about how the Alabama's crew managed to retake the ship after it was hijacked by pirates Wednesday about 350 miles off the coast of Somalia in the Indian Ocean.
Crew members smiled broadly as they stood on the ship's deck under the watchful eyes of security teams. Although the crew was kept away from the media, CNN's Stan Grant got close enough to ask crew members what happened after the pirates climbed aboard the ship.
One crew member said he recalled being awakened around 7 a.m. as the hijacking began.

http://abclocal.go.com/wpvi/story?section=news/local&id=6753949
"I was scared," Grant quoted the man as saying.
Some of the crew managed to hide in a secure part of the Alabama as the pirates stormed the ship, the sailor said.
As the sailors described their clash with the pirates, a crew member pointed to one shipmate and said, "This guy is a hero. He and the chief engineer, they took down the pirate. ... He led him down there to the engine room and then they jumped him."
The shipmate added that he stabbed the pirate's hand and tied him up.
"Capt. Phillips is a hero," another crew member shouted from the deck of the freed ship.
Since Phillips was captured Wednesday, the destroyer USS Bainbridge has been in the area of the lifeboat, trying to free him.
An attempt by Phillips to escape from the 28-foot covered lifeboat was thwarted by a pirate, who dove into the Indian Ocean after him. Phillips' captors appear to have tied him up afterward, Pentagon officials said.
advertisement.gif





The Alabama resumed its course on Thursday for Mombasa, its original destination, carrying food aid and an armed 18-person security detail.
Maersk president and CEO John Reinhart told reporters Saturday that the crew will stay on board in Mombasa while the FBI conducts an investigation.

American captain rescued, pirates killed, U.S. official says - CNN.com
 
Vijana wa Obama ni kiboko!.

Time was a great weapon. Maaramia walikaa bila kulala kwa muda wote huo(toka jumatano) lazima walianza kupoteza mwelekeo kutokana na uchovu wa kimwili na kiakili na mwisho ni dhaama kuwakuta. Natumaini sasa maaramia wategemee kipigo zaidi ya hiki. Tumsubirie Kamanda Obama kutoa mwongozo zaidi!

What a Easter Present to Captain's wife!
 
Habari ambazo hazijathibitishwa lakini za kuaminika :) zinadai captain Richard alirukia tena baharini katika jitihada za kutoroka, hivyo hao pirates wakawa exposed walipojaribu kutaka kumkamata tena na watatu kutandikwa risasi na wakauwawa na mmoja amekamatwa si ajabu hata huyu ana majeraha ya risasi.
 
Bora wawe hawajamuingilia kinyume.......nasikia hawa maharamia mateka wao wanaingilia kinyume.....
 
Time was a great weapon. Maaramia walikaa bila kulala kwa muda wote huo(toka jumatano) lazima walianza kupoteza mwelekeo kutokana na uchovu wa kimwili na kiakili na mwisho ni dhaama kuwakuta. Natumaini sasa maaramia wategemee kipigo zaidi ya hiki. Tumsubirie Kamanda Obama kutoa mwongozo zaidi!

What a Easter Present to Captain's wife!
Mkuu hao wasomali si ni watu wa gomba? Wanasaga gomba(veve,mrungi) na likishanasa(handass) ndio panakuwa na tabu,sasa naona mrungi uliwaishia na hivyo kubaki wachovu ni stimu kukata...This time wamarekani naona wameamua wawakomalie kichwa kwani waliwatoa nishai kwenye black hawk down huko Mogadishu.
 
Habari ambazo hazijathibitishwa lakini za kuaminika :) zinadai captain Richard alirukia tena baharini katika jitihada za kutoroka, hivyo hao pirates wakawa exposed walipojaribu kutaka kumkamata tena na watatu kutandikwa risasi na wakauwawa na mmoja amekamatwa si ajabu hata huyu ana majeraha ya risasi.

Yeah,huyu captain ni shujaa wa kikwelikweli maana ni mara mbili sasa kafanya kuwatoroka huo ni moyo mgumu kwa vile jamaa ni wabaya kulikoni
Cheer!!! captain Richard
 
Hostage captain freed after US firefight with Somali pirates
Amy Fallon and agencies guardian.co.uk, Sunday 12 April 2009 18.53 BST
A US Navy handout photo shows Maersk Alabama captain Richard Phillips standing alongside commander Frank Castellano (L), commanding officer of USS Bainbridge after being rescued by US Naval forces off the coast of Somalia. Photograph: US Navy/EPA

...na huu ndio mwisho wa sinema hii, 'stelingi hauwawi!'
 
Waungwana waliokuwa wanamuunderestimate Obama kazi kwao, jamaa ana some cojones kwa kuruka majini na kupiga mbizi.
U.S. officials said Obama ordered the Defense Department to use military resources to rescue Phillips. Obama said the captain had courage that was "a model for all Americans." The officials spoke on condition of anonymity because they were not yet authorized to disclose the president's decision-making process.
US sea capt. freed from pirates in swift firefight
 
Woh, Hizi ni habari njema za wokovu. Yesu kafufuka na Capt. Phillip. Sasa Obana tembeza kichapo kukomesha hako katabia ka pirates hapo Somali ili watu wapitishe meli zao kwa amani.
 
Hao makomandoo waliomuokoa wana asili ya Ki-Ebrania, na hao maharamia wana asili ya kiarabu/kiislam.

Mjue kuwa Mungu wa Israel ambaye ni YEHOVA ndiye Mungu
.
 
aaaaaah bwawa limeingia luba enyi ndugu zangu nilisema kaluina lilah rajiun, na bw mbu ukasema natangaz mpira, haya waungwana, mijimeli yoote iwe bure??? watusubiri sisi na meli zetu za china india philipino,unakwenda kumchoza mtu mgomvi,lahaula. meli yao imeondoka na cptain kapatikana hai na jisomali moja linakwenda kutoa huduma gerezani.
 
Wapi Kizimkaz leo maana utabiri wake umetimia. Toba Kilio leo Somalia!!!

bw weee!!!!!! ndugu yangu si matanga tena hayo.basi wanyama woote hutaki kuwatoga na kuwavika hereni lazima umtoge simba, halafu unaita mamaaa afanyeje.meli za kiphilipino zipo tele, aaa ndio sikio la kufa bw.
 
Back
Top Bottom