mbona yeye anakaa hapo kinondoni tena uswaz tu? Sio siri ukimuona jamaa kabla hujamsikia utajua ni jentoman fulani. Kiukweli sitaki kuamini kuwa jamaa ni kapi hivyo**** sana huyo dogo kuna mahojiano anamkandia Mlela eti kuwa watoto wa Mbezi beach hawamjui Mlela labda Ilala,toka siku hiyo nikajua upeo wake ziro wasanii muwe mnafikiri kwanza..
mhh hivi pale ni kinondoni au ni mwananyamala komakomambona yeye anakaa hapo kinondoni tena uswaz tu? Sio siri ukimuona jamaa kabla hujamsikia utajua ni jentoman fulani. Kiukweli sitaki kuamini kuwa jamaa ni kapi hivyo
Atakuwa mwanachama wa CCM huyu ndo majibu yao haya, wazee wa miteremko.
Sijamisikia akisema yeye ni CCM! Shikeni adabu zenu!Hawa ndio wanaongeza idadi ya wazembe duniani. Nyambaaaaaaaf mweusi! shock absorber! bajaaaaj! CCM waahed! ugoro wa tumbaku! kunguru kiwete!
Amepoteza apetaiti yangu yote acha nikamwage huu ugali.