aiseeeh ! Hebu jipange halafu uje tena, daaah !Sikiliza/ona
oct 5 2007 atcl waliingia mkataba na kampuni ya wallis alafu dhaman ya serikali
inaonyeshwa imetolewa tar 5 apr 2005...jiulize mkataba wameingiaje bila dhamana ya serikali
alafu kwenye madai yao wameandika kuanzia oct 5 .2007 kwa nini tuilipe huu muda mpaka 5 apr 2008 wakati walikuwa hawana dhamana..hamuoni hii ni dowans nyingine jamani zitoo kabwe ametuonyesha leowameshaanza kupewa billion 2.5 na wameandikiwa schedule ya malipo sasa basi amuoni hawa waliotuingiza humu wanaitaji kunyongwa kwanini wanaendelea na kuendesha mashangingi???wananchi atupo kuwapiga hata mawe jamani???wapi wanatupeleka hii serikali
Sikiliza/ona
oct 5 2007 atcl waliingia mkataba na kampuni ya wallis alafu dhaman ya serikali
inaonyeshwa imetolewa tar 5 apr 2005...jiulize mkataba wameingiaje bila dhamana ya serikali
alafu kwenye madai yao wameandika kuanzia oct 5 .2007 kwa nini tuilipe huu muda mpaka 5 apr 2008 wakati walikuwa hawana dhamana..hamuoni hii ni dowans nyingine jamani zitoo kabwe ametuonyesha leowameshaanza kupewa billion 2.5 na wameandikiwa schedule ya malipo sasa basi amuoni hawa waliotuingiza humu wanaitaji kunyongwa kwanini wanaendelea na kuendesha mashangingi???wananchi atupo kuwapiga hata mawe jamani???wapi wanatupeleka hii serikali
mm thijaelewa ulichoandika kwa kweli hebu pangilia upya