Soma hii SMS

Haya mambo yanaweza kuwa yametokea, meaning kwamba sio udaku. La kuquestion ni authenticity.

Inawezekana kabisa kuwa huu ni mpango wa wanamtandao wanaoasi. They can do anything. Uchaguzi si umekaribia, na siasa za sisiemu ni chafua mwenzio ili ushinde. Haya yanaweza kupikwa na wanamtandao hao hao.
 
Zero said:
Najua vitu vingi hapa JF huwa vinaanza kama jokes na watu wanakuwa wagumu kuviamini. Sms kama hiyo zimeshatumwa nyingi tu, sio kwa wabunge tu, bali kwa wapinzani wa serikali na watanzania wote kwa ujumla. Tatizo ni "who will bell the cat". Hapo ndio tunashindwa wengi. Inawezekana huu ni mkakati mzuri tu wa wabunge wa CCM, lakini utekelezaji ukawa mgumu. Cha msingi ni kwamba kila jambo huwa lina mwanzo wake na mwisho wake. Lets hope and wait. Hata USA wamepata the first African-American president. Time will tell!

Zero,

..Samuel Sitta ni mwanasiasa mchafu sana.

..ulizia habari zake tangu akiwa waziri wa ujenzi, na baadaye waziri wa ustawishaji makao makuu Dodoma.

..trust me, ni uwendawazimu kufikiria we will be better off kama tukimtoa Kikwete na kumpachika Samuel Sitta. hata kama ni kwa kipindi cha mpito.
 
Zero,

..Samuel Sitta ni mwanasiasa mchafu sana.

..ulizia habari zake tangu akiwa waziri wa ujenzi, na baadaye waziri wa ustawishaji makao makuu Dodoma.

..trust me, ni uwendawazimu kufikiria we will be better off kama tukimtoa Kikwete na kumpachika Samuel Sitta. hata kama ni kwa kipindi cha mpito.

Mkuu kumbe wewe unamfahamu huyu jamaa nimekuwa nawaambia hapa kuwa huyu jamaa sio msafi hivyo na ni opportunist wa hali ya juu
 
Zero,

..Samuel Sitta ni mwanasiasa mchafu sana.

..ulizia habari zake tangu akiwa waziri wa ujenzi, na baadaye waziri wa ustawishaji makao makuu Dodoma.

..trust me, ni uwendawazimu kufikiria we will be better off kama tukimtoa Kikwete na kumpachika Samuel Sitta. hata kama ni kwa kipindi cha mpito.

Hoja yangu sio kwamba Sitta anafaa au hafai kuwa rais. Hoja yangu ni kwamba haya mambo yanawezekana kabisa. Wabunge wanaweza kujipanga na kumtoa Makamaba na JK. Nani anakuwa Rais na ana kiburi au ubabe kiasi gani, haikuwa hoja yangu. After all it makes sense kusema kwamba, kama bunge linaweza kumtoa JK kwa kutokuwa na imani na uongozi wake, they can do the same against Sitta or whoever atakayekuwa amechaguliwa kama na yeye atalewa madaraka. But my argument was, anything is possible under the sun. It can take years to get there, but it can and will happen. Time will always tell!
 
zero,

..samuel sitta ni mwanasiasa mchafu sana.

..ulizia habari zake tangu akiwa waziri wa ujenzi, na baadaye waziri wa ustawishaji makao makuu dodoma.

..trust me, ni uwendawazimu kufikiria we will be better off kama tukimtoa kikwete na kumpachika samuel sitta. Hata kama ni kwa kipindi cha mpito.

kama zamani haina neno inawezekana ametubu na kuanza maisha mapya tatizo ni huyuuuuuuuu wa sasa ningeamka kesho nikaambiwa hayupo hata tukimpa mtoto wa darasa la tatu atushikie tu mpaka tupateko mwingine wajameni
 
haya kubenea aliwataarifu ccm mapema wenyewe wakapambana na gazeti lisilo na kosa. Ona sasa sijui watamfungia nani. Huo ni ushahidi mwingine wa mkakati wa jk kung'olewa madarakani. Wahusika wakuu si wengine bali mafisadi kama tunavyowajua wanajf

mnanikwaza kweli mnaposema mafisadi ndo wanaotaka kumn'goa mafisadi gani wamn'gowe halafu wapitishe wapi ufisadi wao yeye amewekwa pale kama barabara ya kuupitisha huo ufisadi wanaotaka kumpindua ndo walinda nchi.
 
Hivi wabunge hawewezi kuwa kitu kimoja kupiga kura ya kuto kuwa na imani na rais?
Wanaweza kweli wabunge wetu kufanya hivyo?
....Sidhani kama wana ujasiri wa kufanya hivyo tatizo wabunge ambao wengi ni CCM waoga kiasi kwamba wao wanaamini wapo pale bungeni kuendeleza ufisadi huenda JK atawakumbuka katika ufalme wake wa kifisadi e.g uwaziri. Kumbuka kwa hali ilivyo sasa wabunge wamefanya siasa ndio ajira yao kiasi hata akili zao muda wote zimelalia huko. Cheki wabunge wengi wanaposhindwa katika chaguzi huwa choka mbaya na mwisho huishia kuyumba na baadae kuanza mambo ya kuhama vyama...Si unamkumbuka Njeru Kasaka aliyekuwa mbunge wa Lupa kule chunya? au Sebabiri aliyekuwa mbunge wa ngara???

Njaa inawasumbua hawa ndio maana kuna mambo hawana ubavu wa kuyafanya.
 
" NAshukuru Mungu kuwa Obama kashinda maana hizi safari za USA labda zikapungua. Watakaoweza kumwambia Obama aanze kumyima VIZA huyu Msanii wetu basi itakuwa mswano pia. Kweli Obama anaweza kusaidia Africa kwa mengi tu bila ya kutumia hata senti tano ya walipa kodi."

KAMA VILE ULIKUWEPO,
KWA UFUPI PAMOJA NA SALAMU ZA UNAFIKI AMBAZO JK KAMTUMIA OBAMA, BINAFSI HAJAFURAHIA USHINDI WAKE.HAPA DOM NEC TUNAJIULIZA MUUNGWANA ALIKUWA NA DILI GANI NA REPUBLICAN????????????
 
Hoja yangu sio kwamba Sitta anafaa au hafai kuwa rais. Hoja yangu ni kwamba haya mambo yanawezekana kabisa. Wabunge wanaweza kujipanga na kumtoa Makamaba na JK. Nani anakuwa Rais na ana kiburi au ubabe kiasi gani, haikuwa hoja yangu. After all it makes sense kusema kwamba, kama bunge linaweza kumtoa JK kwa kutokuwa na imani na uongozi wake, they can do the same against Sitta or whoever atakayekuwa amechaguliwa kama na yeye atalewa madaraka. But my argument was, anything is possible under the sun. It can take years to get there, but it can and will happen. Time will always tell!


Hebu someni hii sms na habari leo la jana Jumatano ambalo katika mtandao kichwa ni "Re: Kundi la wabunge CCM lasuka zengwe la EPA" lakini habari ni "JK na IPTL" habari yenyewe imetungwa kwa lengo la kumuokoa Makamba ikiambatana na sms iliyowekwa humu.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...unge-ccm-lasuka-zengwe-la-epa.html#post317177

ZOte zikiwa na lengo moja, kuwachonganisha wabunge wapinga ufisadi na JK na CCM halafu kumuokoa Makamba wakisahau kwamba mabadiliko ya Katiba haimtaji Spika

.....soma hapa....

HabariLeo: Gwiji la habari Tanzania | Kundi la wabunge CCM lasuka zengwe la EPA


Mabadiliko ya Katiba yalimuondoa Spika na Jaji Mkuu kukaimu nafasi ya Urais na badala yake akaingizwa Waziri Mkuu. Sumaye alionja kukaimu siku za mwisho za utawala wa Mkapa na Lowassa naye alionja

Lowassa Kaimu Rais

Sasa Sitta anakuja wapi hapo Kikatiba? Ama Bunge litafanya mapinduzi? Huo ni wendawazimu kwa walioandika hiyo SMS nadhani walipanga hivyo kabla ya Lowassa kuondolewa sasa wanaweweseka.
 
"WAHESHIMIWA WABUNGE,BAADA YA KUMTOSA UKATIBU MKUU MAKAMBA TUINUSURU NCHI YETU KWA KUMTOSA JK.MAMLAKA YA KIKATIBA TUNAYO.MCHAKATO UANZE BUNGENI.SPIKA AMALIZIE KUIONGOZA NCHI HADI 2010.MZEE MALECELA SPIKA.WASWAHILI HAWA WARUDI NCHI NA CHAMA
VIMEWASHINDA.TUMA KWA WABUNGE 10"

Peleka hii kitu kwenye udaku, aliyekupa anajua anachokifanya na kama ni mkakati wa kumwokoa Makamba kwa kumfungamanisha na rais kisha kumsema SITA na Malechela wanataka kuchua nchi ni uzushi wa KIFASADI ambao hauwezi kufanikiwa
 
Peleka hii kitu kwenye udaku, aliyekupa anajua anachokifanya na kama ni mkakati wa kumwokoa Makamba kwa kumfungamanisha na rais kisha kumsema SITA na Malechela wanataka kuchua nchi ni uzushi wa KIFASADI ambao hauwezi kufanikiwa

....Change we Need! Blessed be the day we can change the ways of Dar es Salaam, the way things are done in that Kivukoni White House and top down CHANGE WE NEED....
 
Yes, waweza uita udaku, lakini unaukweli mwingi ndani yake, jamani something has to happen, nchi inakwenda ndivyo sivyo'

if it is udaku, naombea ugeuke kuwa kweli.. jamani raisi gani anaye baki kulalamika kama sisi tusio na mamlaka? sasa akilalamika yeye siye tufanyeje? jamaa kapwaya bwana akipigwa chini binafsi naona itakuwa nafuu, bora tujaribu na wengine!
 
Jambo kama hili (la kutaka kumng'oa JK) nategemea lingefanyiwa vikao vya siri na sio kutuma sms kama hivi.
Wabunge hawawezi kuwa this low, otherwise kuwepo na mlengo mengine kama la 'kumwokoa' Makamba. Na kama lengo ni 'kumwokoa' Makamba, then nadhani mwanzilishi wake hafai kuwa kiongozi popote, sababu anadhihirisha ukomo (wa chini) wa uwezo wake kiuongozi.
 
...kikwete bwana wake bush aliyekuwa akijipendekeza kwake kama kambwa anaondoka......!!!

kuhusu hii msg ..aidha kama ni kweli au sio kweli BUT ukweli ninaoujua ni kuwa ccm kuna mkakati wa siri wa kum mbeki ......na haitakuwa ajabu asipofika 2010 madarakanio....yote hiyo itategemea na wana hao mkakati .....wenyewe...baada ya kumuona anaendesha nchi kijanja janja...
 
Nina hakika sms hii ingekuwa inahusu CHADEMA, basi tayali ingekuwa katika kona ya Jokes au Closed Threads
 
Zero said:
Hoja yangu sio kwamba Sitta anafaa au hafai kuwa rais. Hoja yangu ni kwamba haya mambo yanawezekana kabisa. Wabunge wanaweza kujipanga na kumtoa Makamba na JK. Nani anakuwa Rais na ana kiburi au ubabe kiasi gani, haikuwa hoja yangu. After all it makes sense kusema kwamba, kama bunge linaweza kumtoa JK kwa kutokuwa na imani na uongozi wake, they can do the same against Sitta or whoever atakayekuwa amechaguliwa kama na yeye atalewa madaraka. But my argument was, anything is possible under the sun. It can take years to get there, but it can and will happen. Time will always tell!

Zero,

..nadhani unafikiri matatizo ya Samuel Sitta ni kiburi na ubabe tu. ndiyo maana una-entertain mawazo ya kumu-empeach Raisi na kumupachika Spika[Sitta] madarakani.

..Sitta ana historia mbaya sana, RUSHWA iliyokithiri ikiwa ni mojawapo.

..mawazo yako ni mazuri, kwamba Raisi anaweza kuondolewa na Bunge la Jamhuri. lakini kama utekelezaji wake sasa hivi utatuletea tatizo[samuel sitta] kubwa zaidi ni vema tukawa na subira.
 
Below is an sms ambayo inasambazwa kwa wabunge wa CCM.Nimeipata kutoka kwa Mbunge ambaye ofcoz siwezi kumtaja hapa.Mkakati wa kwanza ni kumng'oa Makamba thru vote of no confidence...


"WAHESHIMIWA WABUNGE,BAADA YA KUMTOSA UKATIBU MKUU MAKAMBA TUINUSURU NCHI YETU KWA KUMTOSA JK.MAMLAKA YA KIKATIBA TUNAYO.MCHAKATO UANZE BUNGENI.SPIKA AMALIZIE KUIONGOZA NCHI HADI 2010.MZEE MALECELA SPIKA.WASWAHILI HAWA WARUDI NCHI NA CHAMA
VIMEWASHINDA.TUMA KWA WABUNGE 10"


It may be a good start but I dont think if CCM MPs can dare doing it.
 
Mungu ibariki Tanzania na wale wote wenye mipango mizuri juu ya taifa letu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom