Habari za jioni wadau? Nina rafiki yangu yupo chuo ila amekosa mkopo na nyumbani kwao wamemsusa sababu alipata ujauzito akiwa shuleni amekuwa wa mawazo hata kula yake ni ya tabu anafikiria kuacha chuo! Nimshaurije na kama kuna wafadhili basi wajitokeze kumsaidia ana hali mbaya namuonea huruma!asanteni