Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
wadau kuna utapeli umeingia wa watu kuibiwa laptop......uko hivi na hii imemtokea rafiki yangu maeneo ya posta
yeye alikuwa anatembea na begi lake njiani mitaa ya posta akiwa anatoka kwenye shughuli zake wakati yupo njiani
mida ya saa mojamoja kuna gali aina gx mia lilikuwa linatokea nyuma yake baada ya muda likasimama njiani kuna
wasichana wawli walisimamisha gali na kuumulizia njia ya kutokea posta mpya .....kuelekea mnazi mmoja yule jamaa akawaelekeza wale wanadada wakamshukulu wakasema asante ila wakamuomba apande gali ili wamsogeze sogeze naye wamuache hata njiani..........
wakati wapo ndani ya gali dada mmoja alimuuliza kaka ww unaelekea wapi akasema anaelekea kimara yule dada akamwamia sisi tunaelekea mbezi mwisho basi kama vipi twende na sisi tutakudrop njiani mshikaji wangu akasema nashukuru sana mtanisaidia sana maana jioni usafili wa kimara ni mgumu sana .....wakati wapo njiani walifika maeneo ya magomeni mwembechai yule dada mmoja alisimamisha gali......na kumwambia rafiki yangu aliyekuwa siti ya nyuma
kutokana na wao kuchoka walimwomba akawanunulie maji matatu ya uhai matatu ya uhai duka lolote pale jamaa alishuka kwenda kununua maji wakati anarudi na maji hakufanikiwa kuliona lile gali......hakufahamu lilienda wapi na akaaanza kulia akilalamika vitu vyake alivyooviacha kwenye lile gali kwani aliacha laptop yake na vitu vyake vya umuhimu .....na hakufahamu wale akina dada wameelekea wapi..........
kwa hiyo nimeamua kuwajulisha wanajf hii inshu tuwe makini
yeye alikuwa anatembea na begi lake njiani mitaa ya posta akiwa anatoka kwenye shughuli zake wakati yupo njiani
mida ya saa mojamoja kuna gali aina gx mia lilikuwa linatokea nyuma yake baada ya muda likasimama njiani kuna
wasichana wawli walisimamisha gali na kuumulizia njia ya kutokea posta mpya .....kuelekea mnazi mmoja yule jamaa akawaelekeza wale wanadada wakamshukulu wakasema asante ila wakamuomba apande gali ili wamsogeze sogeze naye wamuache hata njiani..........
wakati wapo ndani ya gali dada mmoja alimuuliza kaka ww unaelekea wapi akasema anaelekea kimara yule dada akamwamia sisi tunaelekea mbezi mwisho basi kama vipi twende na sisi tutakudrop njiani mshikaji wangu akasema nashukuru sana mtanisaidia sana maana jioni usafili wa kimara ni mgumu sana .....wakati wapo njiani walifika maeneo ya magomeni mwembechai yule dada mmoja alisimamisha gali......na kumwambia rafiki yangu aliyekuwa siti ya nyuma
kutokana na wao kuchoka walimwomba akawanunulie maji matatu ya uhai matatu ya uhai duka lolote pale jamaa alishuka kwenda kununua maji wakati anarudi na maji hakufanikiwa kuliona lile gali......hakufahamu lilienda wapi na akaaanza kulia akilalamika vitu vyake alivyooviacha kwenye lile gali kwani aliacha laptop yake na vitu vyake vya umuhimu .....na hakufahamu wale akina dada wameelekea wapi..........
kwa hiyo nimeamua kuwajulisha wanajf hii inshu tuwe makini