Soma hapa: Ujue kwamba nchi imepigwa bei

Namani nikane uraia wa kuwa mtanzania!Kikwete,kikwete!where are you taking us?Tanzania is our country and not just a property owned by few people including you over 40mil people!Tuachie nchi yetu!****** leaders
 
Peooooooples power/chadema naomba muingilie kati hili, msipofanya hivyo lawama zi mabegani mwenu chukua hatua waajulisheni umma wa watanzania jambo hili.

Nawasilisha
 
hayoooo yanafanywa na mazumbukuku wa Africa, kuuza mali zote na hata roho za wananchi kwa matarajio kuwa wazungu wataleta maendeleo.....this will never happen on earth, for only the men of the country who CAN bring development and NOT foreigners. Hizo hekari wanazowapa wazungu ni kifo chao hao watawala na umilele wa umaskini wa wananchi wao.
 
Arable land in TZ is only 44milion hectares, population is around 44m as well, hence on average 1 Tanzanian may have not more than 1 hectare now! How about 99 years to come! Overall at that time no one will be alive who is existing now, we are creating fatal mistakes that will affect our sons and daughters and their children. Pinda hear this cry of Tanzanians please!
 
Akili lala zinaendelea: eti kuna mmoja adhania angalau Watanzania watapata chakula. Nani kakwambia chakula hicho Watanzania wataweza kukinunua?

Hicho ni kwa mataifa ya Ulaya, Uarabuni wanaoweza kutoa fedha nzuri. Isitoshe, hawa jamaa wata-introduce GM crops ambazo hakuna Mtanzania atakayeweza kununua mbegu zake.

Na ni za zao moja tu, zao likipita inabidi uende Marekani tena ununue mbegu zake, huwezi kuchukua mazao hayo na kuyageuza mbegu! Usalama wake pia bado unazungumziwa. Jee, JK anayajua haya au kazi ni kuwauzia rafiki zake Wamarekani?

Nasikia keshatoa kituo cha kijeshi (military base) pia huko sehemu za Tanga, kweli?
 
hata kama tuwapole mno watanzania tufike mwisho kinachofanya na serikali ya ccm ni uhuni miaka 99 kwa heka laki 1...watanzania tuchukue hatua vinginevyo tuna wajukuu zetu watakuja kuchukua mifupa na kupeleka maabara kupima tulikuwa wazima au tulikuwa mazezeta..
 
hata kama tuwapole mno watanzania tufike mwisho kinachofanya na serikali ya ccm ni uhuni miaka 99 kwa heka laki 1...watanzania tuchukue hatua vinginevyo tuna wajukuu zetu watakuja kuchukua mifupa na kupeleka maabara kupima tulikuwa wazima au tulikuwa mazezeta..
<br />
<br />
Laki nane mkuu!
 
inafanana sana na hii, au siyo!?
yaani hatuelewi chochote kuhusiana na mipango ya hao wezi,wasipoisikiliza sauti ya umma,nadhani yatawakuta kama aliyoyaomba Zombe,kizazi hiki hakitaliwa na wapumbavu,tutapigania rasilimali zetu
bwana Moses K,unaweza kudadisi bei maana huwa wanapewa bure au kwa gharama ambayo mtanzania yeyote anaweza kumudu na akipewa mikopo na benki anaweza akafanya jambo la maana au kuwepo na ushirikiano na wawekezaji
NAIPINGA HOJA VIKALI
 
something has to be done in Tanzania!??
....when to do it: NOW!!!! NOW!!!!
....who's to do it: Tanzanian
....how and where to get 'courage': Egypt and (somehow) Kenya!
 
Mkuu, hiyo afadhali unayoisema iko wapi? Hivi unajua hizo ekari 800,000 ni sawa na asilimia ngapi ya ardhi inayofaa kwa kilimo hapa TZ? Pili kumbuka watapata lease ya miaka 99!!!! (Karne nzima) takribani vizazi viwili. Wakatti huo watanzania watakuwa wangapi? ambao kati yao tuseme 70% watataka kulima lakini ardhi yao itakuwa mikononi mwa wazungu. Hicho Mkuu ni KIAMA kwa nchi na vizazi vyake.
Sio muda mrefu yatatukuta yaliyotoke zimbabwe,nasi itabidi tumtafute Mugabe wetu. Kweli Tanzania ni shamba la bibi lila idara ! Aibu................
 
Sio muda mrefu yatatukuta yaliyotoke zimbabwe,nasi itabidi tumtafute Mugabe wetu. Kweli Tanzania ni shamba la bibi lila idara ! Aibu................
Hoja yako sahihi lakini mfano siyo. Mugabe hajagawa ardhi kwa wazungu/wageni. Amefanya kinyume chake.

Amechukua ardhi iliyoibwa na wazungu akina Cecil Rhodes na kuwagawia waZimbabwe. Sisi tunafanya kosa liliofanyika Zimbabwe karibu miaka 150 iliyopita. Tena afadhali ya wao kwa sababu walinyang'anywa kwa mabavu na ghiliba lakini viongozi wetu wa sasa wanatoa wenyewe.
 
<font size="4">Msiniambie kuwa mnaogopa kuwa hawa wataanzisha Migodi ya Kinyemela ndani ya mashabma yao?<br />
<br />
Mkiniambia kuwa huo ndiyo wasiwasi wenu, basi masikitiko yangu ya uwezo wa watu wetu kujipambanua na mambo makubwa yanayotokea ulimwenguni yataporomoka kabisa.</font>
<br />
<br />
Nimejarb kumulika ili tuone umuhimu wa aridh na dhaman yake.

Hili halimaanishi nakubaliana na serikali hii ya kikwete na maamuzi haya ya Kiukapitalisti.
 
yaani hatuelewi chochote kuhusiana na mipango ya hao wezi,wasipoisikiliza sauti ya umma,nadhani yatawakuta kama aliyoyaomba Zombe,kizazi hiki hakitaliwa na wapumbavu,tutapigania rasilimali zetu
bwana Moses K,unaweza kudadisi bei maana huwa wanapewa bure au kwa gharama ambayo mtanzania yeyote anaweza kumudu na akipewa mikopo na benki anaweza akafanya jambo la maana au kuwepo na ushirikiano na wawekezaji
NAIPINGA HOJA VIKALI

Mkuu inasemekana bei ni shilingi 200 kwa ekari moja, lakini haijabainika kama bei hiyo ni kwa mwaka au kwa kipindi gani na kwamba serikali za vijiji jirani zitaambulia shilingi miatano
 
[h=6]An article on a big US-based agri-business company which intends to invest heavily in Tanzania has appeared in some US newspapers, and picked by one of the English weeklies.

According to this article, which the local newspaper gave a screaming headline of ‘US investor set to acquire large chunks of land in Tan...zania’, the intention of t...he investor is to bring modern and sustainable agriculture to the country, so that even small holder farmers can learn techniques of the 21st century farming.

The land earmarked for the massive grain and livestock operation is not less than 800,000 hectares.

If things go as planned, the company will secure a 99-year lease of the extensive area “for the purpose of growing crops to be sold in the country, the rest of East Africa and other neighbour countries”.

Some of the experts and international NGOs specializing in Third World development trends are already sounding an alarm about land grabbing in some countries by foreigners, who take advantage of poverty and corruption in targeted regions to effect their mission.

Question here is:
who should have powers to give 800,000 hectares to a foreigner under a 99-year lease????[/h]

Do not be suprised to find most of us (Tanzanians) being squatters in our own ancestors land......FRANKLY SPEAKING THE SITUATION OF THIS COUNTRY (my beloved Tanzania) IS DISHEARTING.....
 
watendaji wana tr 3 benki epa,vijisent sasa wanauza hadi makaburi etu maana ndio kinachofuata KIA je natamani nihamie angalu burundi nitapambana na vita si kuuzwa hai
 
Back
Top Bottom