Soma Hapa Tafadhari,Nakutegemea!!

labda mleta mada hajaeleweka laki tatu hela za kitanzania au usd? hakika sikufikirii vibaya ila mkuu hicho ni kiasi kidogo sana cha kuanzia biashara kama umeshakuwa mtu mzima na unafamilia labda kama bado inachemka unaweza kuuza hata maji, sigara au kibanda cha kiti moto(inategemea na imani yako) au hata duka la taka taka linalipa kwa hiyo biashara ila kma age imeenda kidogo please usirudi, halafu una nauli ya kurudi, una uhakika wa kufikia?? je uko peke yako huna mtegemezi?? una hela ya kujikimu tofauti na hiyo laki tatu?? think twice mkuu before hujamwaga manyanga.
 
Huwezi kuwa ughaibuni halafu unarudi na sh. laki tatu ambayo ndiyo unayoitegemea kuanzisha biashara. Hauko serious. Hili jukwaa siyo la fictional stories. Watu kama nyie mtasababisha jukwaa hili lipoteze maana yake. Habari kama hizi peleka kwenye hoja mchanganyiko au jokes, sio hapa.

Duh sijawahi ona mtu mwenye roho kama ya kwako...Wewe una maisha gani haswa yanayokufanya udharau wengine wenye kidogo?Kama hauwezi msaidia ndugu yetu kuwa na busara kidogo.. Kwenye jamii watu kama wewe ni kikwazo sana
 
Duh sijawahi ona mtu mwenye roho kama ya kwako...Wewe una maisha gani haswa yanayokufanya udharau wengine wenye kidogo?Kama hauwezi msaidia ndugu yetu kuwa na busara kidogo.. Kwenye jamii watu kama wewe ni kikwazo sana

Kalagha bao...
 
pole sana mkuu, ukifika nyumbani hebu ni-PM tuongeze huo mtaji tuungane tufanye biashara.
nimeona mtu kama wewe UNAEJIAMINI sio bure, kuna kitu cha zaidi ndani yako, ni zaidi ya binadamu wa kawaida!.

shukrani Mkuu...Unajua Maisha Haya Nguzo Ni Wewe Mwenyewe,siwezi Nikajitelekeza coz Udhaifu Wa Haya Maisha Ni matokeo Ya Maamuzi Duni Nitakayoyafanya!
Thanks Mkuu..Nahtaj Sana Marafik Kama Wewe,nitafanya Hvyo!
 
  • Thanks
Reactions: GP
labda mleta mada hajaeleweka laki tatu hela za kitanzania au usd? hakika sikufikirii vibaya ila mkuu hicho ni kiasi kidogo sana cha kuanzia biashara kama umeshakuwa mtu mzima na unafamilia labda kama bado inachemka unaweza kuuza hata maji, sigara au kibanda cha kiti moto(inategemea na imani yako) au hata duka la taka taka linalipa kwa hiyo biashara ila kma age imeenda kidogo please usirudi, halafu una nauli ya kurudi, una uhakika wa kufikia?? je uko peke yako huna mtegemezi?? una hela ya kujikimu tofauti na hiyo laki tatu?? think twice mkuu before hujamwaga manyanga.

sina mke wala Familia Inayonitegemea...ni kijana mwenye nia Ya Kuandaa Maisha kwangu na Kwa Watakao Nitegemea!
 
Duh sijawahi ona mtu mwenye roho kama ya kwako...Wewe una maisha gani haswa yanayokufanya udharau wengine wenye kidogo?Kama hauwezi msaidia ndugu yetu kuwa na busara kidogo.. Kwenye jamii watu kama wewe ni kikwazo sana

Mkuu! huyu Jamaa Kanishangaza Sana,labda Anaamini Maisha Utayacontrol mpaka Uwe Na Bil.!
 
ndio...Na Ndizo Hizo Nilizozichanga Toka Mwaka Jana!

Lol! Mwaka mzima unachanga Tshs laki 3 tu mkuu? Wakati ukiwa Oslo, Norway hilo ni pato la siku moja hadi moja na nusu. Pole sana mkuu naona kweli hali ni mbaya huko rudi TZ ujenge taifa.
 
huko huko uliko endelea kupiga mzigo....no kidding laki tatu ndogo mno. running costs (both legal and illegal) are damn high!
 
Hiyo pesa ni mtaji mkubwa sana kakangu kama upo tayari kufanya kazi yoyote.kwa huo mtaji nakushauri kitakacholipa haraka ni biashara ya chakula achana na habari ya mazao ulime upande na upalilie kwa sh ngapi?ni mabadiliko y hali ya hewa,Sasa ingekuwa mimi wewe hiyo pesa ningenunua nusu gunia la viazi vya chips ambalo najua mbeya halizi 50 elfu,mafuta ndoo moja haizidi 30 elfu japo sina hakika,jiko refu la mkaa lenye plate tatu na moja ndogo.na hapo biashara ingeanza.tena huitaji longolongo mtu mja tu unaanza nae kama kuna chuo fanya karibu na chuo usiku na mchana wiki tu utaniambia.All the best
 
Lol! Mwaka mzima unachanga Tshs laki 3 tu mkuu? Wakati ukiwa Oslo, Norway hilo ni pato la siku moja hadi moja na nusu. Pole sana mkuu naona kweli hali ni mbaya huko rudi TZ ujenge taifa.

yaan MAZINGIRA we acha tu!!
 
inatosha kuanzishia genge la matakapela na mabhifu pale kiwira,rudi nyumbani mkuu
 
Hiyo pesa ni mtaji mkubwa sana kakangu kama upo tayari kufanya kazi yoyote.kwa huo mtaji nakushauri kitakacholipa haraka ni biashara ya chakula achana na habari ya mazao ulime upande na upalilie kwa sh ngapi?ni mabadiliko y hali ya hewa,Sasa ingekuwa mimi wewe hiyo pesa ningenunua nusu gunia la viazi vya chips ambalo najua mbeya halizi 50 elfu,mafuta ndoo moja haizidi 30 elfu japo sina hakika,jiko refu la mkaa lenye plate tatu na moja ndogo.na hapo biashara ingeanza.tena huitaji longolongo mtu mja tu unaanza nae kama kuna chuo fanya karibu na chuo usiku na mchana wiki tu utaniambia.All the best

ushaur wa maana mkuu...nitaufanyia kaz!
 
Back
Top Bottom