UKI
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 691
- 172
labda mleta mada hajaeleweka laki tatu hela za kitanzania au usd? hakika sikufikirii vibaya ila mkuu hicho ni kiasi kidogo sana cha kuanzia biashara kama umeshakuwa mtu mzima na unafamilia labda kama bado inachemka unaweza kuuza hata maji, sigara au kibanda cha kiti moto(inategemea na imani yako) au hata duka la taka taka linalipa kwa hiyo biashara ila kma age imeenda kidogo please usirudi, halafu una nauli ya kurudi, una uhakika wa kufikia?? je uko peke yako huna mtegemezi?? una hela ya kujikimu tofauti na hiyo laki tatu?? think twice mkuu before hujamwaga manyanga.