mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,510
- 10,396
Hauko serious ndugu. Dollar 200!!! Kwani Tanzania umetoka lini?
mkuu hao watu wa ughaibuni wasikie tu, hapa utajiuliza maswali kibao yasiyo na majibu, kifupi ni kwamba wengi wao wanaenda tu kama kubahatisha, wanakuwa hawajui ugumu wa huko. Unaweza kuwashangaa mpaka basi, lakini ukweli ndo huo kwamba hali ni ngumu.
Muhimu mpe ushauri kama alivyoomba vinginevyo utaendelea kushangaa tu kwa sana!