Wapi wanauza Solar Power kwa bei nafuu Dar?Vifaa viwe complete yaani...
1.Panel 2 za watt 40@
2.betri dry cell 1.
3.solar power control
4.inverter
5.wires and bulb
then itagharimu kiasi gani.wadau naomba msaada hapo!
Wapi wanauza Solar Power kwa bei nafuu Dar?Vifaa viwe complete yaani...
1.Panel 2 za watt 40@
2.betri dry cell 1.
3.solar power control
4.inverter
5.wires and bulb
then itagharimu kiasi gani.wadau naomba msaada hapo!
Jaribu kariakoo mtaa wa Livingston niliwahi kuona duka la solar panels.
Nenda zara solar. Pale akiba opposite na nssf. Yaani bibi titi na morogoro. Mi nimenunua pale ya watts60 kwa 680,000. Hiyo ni materials zote na ufundi. Nina mwezi wa sita sasa, haijawahi kunisumbua chochote. Hata mvua ikinyesha napata umeme kama kawaida.
Mimi nipo UK kama utakuwa na subra tufanye biashara na vilevile utaweza kulinganisha na bei za huko lakini zikitoka huku ni uhakika.
Nenda zara solar. Pale akiba opposite na nssf. Yaani bibi titi na morogoro. Mi nimenunua pale ya watts60 kwa 680,000. Hiyo ni materials zote na ufundi. Nina mwezi wa sita sasa, haijawahi kunisumbua chochote. Hata mvua ikinyesha napata umeme kama kawaida.
Hakuna shaka ndugu. Ukifika pale jamaa watakupa maelezo yote, fundi wao mkuu anayetoa ushauri anaitwa Safari. Atakueleza kila kitu.Nakushukuru sana Mkuu na Ubarikiwe kwa kuwa nilikuwa na kama laki 8 ambayo itatosha sasa kutokana na bei hiyo.
Wapi wanauza Solar Power kwa bei nafuu Dar?Vifaa viwe complete yaani...
1.Panel 2 za watt 40@
2.betri dry cell 1.
3.solar power control
4.inverter
5.wires and bulb
then itagharimu kiasi gani.wadau naomba msaada hapo!
Mimi nacharge laptop, Simu, Naweza kuwasha redio (japo situmii), naweza pia kuwasha feni, Nawasha taa Kama kumi za energy server (hizi za Kawaida kutoka Tronic) na zinaweza kukesha kama tano...kuhusu TV Mimi siwezi kuwasha kwa hivi sasa kwa umeme huu nilionao kwani TV ni LED ni pia ni kubwa sana.. Ningetaka System ya kuwasha mpaka TV, Home theatre na entertainment system ningelipa kama milioni mbili tu. Ila sikuwa na sababu hiyo.Mkuu unaweza kutumia ni nini na nini kwa maana ya device za umeme? Mfano tv, redio na hata kuchaji simu.
Nashukuru na Ubarikiwe Mkuu,sasa bei yako ni kiasi gani pia ungenipa mchanganuo kwa ujumla!