commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Jaribu kuwa inteligent kidogo tu,kesi yoyote huwa haihukumiwi kutokana na madai ya mlalamikaji na polisi pekee,ndio maana ushahidi wa kutosha huhitajika.kutoka kwa mashuhuda wengine.suala mbona liko wazi hata mhusika mwenyewe alitamka wazi kwamba wafuasi watiifu wa chadema ndio waliommwagia tindikali usoni na kumtia ulemavu unadhani kwa nini hakuwataja nccr mageuzi?ina maana wewe unajua kuliko yeye alieumia wakati hukuwepo hata eneo la tukio..msirudie tena mambo haya ya kipuuzi huko arumeru,muwaonye wafusi wenu nasikia wamepania kufanya vurugu huko
Hapa naona wewe na yeye muathirika wa acid, mmejaa u-ccm pekee na pale ambapo lolote baya la kibinadamu linapowakuta basi nyie hukimbilia kudhani linafanywa na mahasimu wenu wakuu nchini ambao kwa sasa ni cdm?
Je hudhani klwamba kuna uwqezekano wa yeye kuumizwa na wana ccm wenzie pengine kwa kudhulumiana mgao wa posho nk?
Kuhusu arumeru umetufumbua macho kuwa ccm inapanga kutumia vurugu za sungusungu ili kuvuruga uchaguzi kwa kisingizio ni wafuasi wa cdm