Kama ni kweli Sokoine alim-groom Lowasa, basi tumpe 2015 japo atukomboe hii miaka michache aliyobakiza,
Kama kuna mtu anajua ni mwizi aseme kaiba nini, mana kama kujiuzuru hata Mwinyi aliwahi jiuzuru hafu akaja kuwa Rais wa Zanzibar, na URT - kwa hiyo kujiuzuru ni swaga!
Kama kuna mtu anajua ni mwizi aseme kaiba nini, mana kama kujiuzuru hata Mwinyi aliwahi jiuzuru hafu akaja kuwa Rais wa Zanzibar, na URT - kwa hiyo kujiuzuru ni swaga!