Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Salaam,
Natafuta soko la vitunguu popote East Africa, Niko tayari kuuza gunia kwa Tsh 95,000/= kama order ni kubwa sana mpaka Tsh 120,000/=. ( Bei inaweza kuongezeka yote yanategemea na uko wapi na utapenda kununulia nilipo au kuletewa). Nafanyia Production Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro.
Nakaribisha Mawazo,
Natafuta soko la vitunguu popote East Africa, Niko tayari kuuza gunia kwa Tsh 95,000/= kama order ni kubwa sana mpaka Tsh 120,000/=. ( Bei inaweza kuongezeka yote yanategemea na uko wapi na utapenda kununulia nilipo au kuletewa). Nafanyia Production Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro.
Nakaribisha Mawazo,