Soko la nguo za Mitumba

Fmewa

JF-Expert Member
Nov 16, 2009
292
81
Ndugu zangu habari zenu. Poleni na pilikapilika za hapa na pale za maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa iliyokuwa Tanganyika leo inaitwa Tanzania bara. pia poleni kwa maandalizi ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Leo nimeona nije hapa jamvini kuomba ushauri kwani naamini fika kuwa kuna watu wana uelewa wa mambo mengi na wahenga walisema penye wengi hapaharibiki jambo.
Naomba ushauri kuhusu soko la mitumba hapa Tanzania hususani Dar Es Salaam, sina ujuzi wa biashara hiyo lakini ninaweza kupata link ya kuleta mituka kutioka USA lakini nataka nijue soko lake likoje, utaratibu wa kuendesha biashara hii hapa kwetu, na mambo kadhaa yanayotakiwa (do's & dont's, challenges, expectation etc)
Tafadhali naombeni ushauri wenu ndugu zangu coz niko ktk harakati za kujikwamua ktk umasikini.
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwa wote watakaotoa comments. You any comment is highly valuable and appriciated.
Nawasilisha
 
Ninachojua kuhusu biashara hii ni kwamba inatakiwa uwe makini kwenye kupata mitumba yenye quality ya juu, na sio kanyaboya. Kama upo DSM tembelea soko la Mwenge na Mwananyamala studio uone jinsi wadada wanavyochangamkia mitumba yenye quality ya juu. So kwa kuanzia nakushauri target group yako iwe wadada kwani frequency yao ya kubadili nguo ni kubwa kuliko wanaume. Wadada shopping ni almost everyday, wanaume shopping zao mara chache sana. Mwanaume akijipenda kupitiliza na kufanya shopping mara kwa mara wanamuita majina kama vile bitoz, mtoto wa mama, sharobaro, mchumba etc
Ndugu zangu habari zenu. Poleni na pilikapilika za hapa na pale za maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa iliyokuwa Tanganyika leo inaitwa Tanzania bara. pia poleni kwa maandalizi ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Leo nimeona nije hapa jamvini kuomba ushauri kwani naamini fika kuwa kuna watu wana uelewa wa mambo mengi na wahenga walisema penye wengi hapaharibiki jambo.
Naomba ushauri kuhusu soko la mitumba hapa Tanzania hususani Dar Es Salaam, sina ujuzi wa biashara hiyo lakini ninaweza kupata link ya kuleta mituka kutioka USA lakini nataka nijue soko lake likoje, utaratibu wa kuendesha biashara hii hapa kwetu, na mambo kadhaa yanayotakiwa (do's & dont's, challenges, expectation etc)
Tafadhali naombeni ushauri wenu ndugu zangu coz niko ktk harakati za kujikwamua ktk umasikini.
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwa wote watakaotoa comments. You any comment is highly valuable and appriciated.
Nawasilisha
 
Soko la mitumba lipo juu hasa kama una vitu vikali. Kuna mitumba inauzwa bei mbaya kuliko nguo ya dukani. Wadada wa tz tunasema bora uvae mtumba maana mwingine mwenye nguo kama hiyo yupo kenya.
 
Soko la mitumba lipo juu hasa kama una vitu vikali. Kuna mitumba inauzwa bei mbaya kuliko nguo ya dukani. Wadada wa tz tunasema bora uvae mtumba maana mwingine mwenye nguo kama hiyo yupo kenya.

ha haaa haaaa

yupo kenya au ni marehemu?
 
Ninachojua kuhusu biashara hii ni kwamba inatakiwa uwe makini kwenye kupata mitumba yenye quality ya juu, na sio kanyaboya. Kama upo DSM tembelea soko la Mwenge na Mwananyamala studio uone jinsi wadada wanavyochangamkia mitumba yenye quality ya juu. So kwa kuanzia nakushauri target group yako iwe wadada kwani frequency yao ya kubadili nguo ni kubwa kuliko wanaume. Wadada shopping ni almost everyday, wanaume shopping zao mara chache sana. Mwanaume akijipenda kupitiliza na kufanya shopping mara kwa mara wanamuita majina kama vile bitoz, mtoto wa mama, sharobaro, mchumba etc

Na za watoto pia!
 
Ninapenda kuto shukurani zangu za dhati kwa ninyi nyote ambao mmechangia kunipa mwanga ktk hili, bado naendelea kupokea ushauri wenu ndugu zangu
 
Soko la mitumba lipo juu hasa kama una vitu vikali. Kuna mitumba inauzwa bei mbaya kuliko nguo ya dukani. Wadada wa tz tunasema bora uvae mtumba maana mwingine mwenye nguo kama hiyo yupo kenya.

Vipi utagundua kuwa robota lina vitu vikali? Isije ikawa umekwisha nunua na unapofungua ndo unakuta kuna manguo yaliyochakaa!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom