mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Habari zenu wana Jf, Jamani mwenzenu nataka nifanye biashara ya kuuza mbuzi kutoka mikoa ya kati kuja dar, wenye uzoefu naomba mnisaidie kufahamu soko la Mbuzi yaani bei yake kwa wastani pamoja na uzoefu wowote ambao mnaona utanisaidia. Nawasilisha.